Hazungumzi wapi? wakati kila siku anamponda trump.Clinton ni silence winner kwani azungumzi sana
Trump lazima akatwe!trump lazma aingie aanze upya kuitawala afrika.....
Trump lazima akatwe!
maneno yasiyokuwa na hata chembe ya unafiki.............yanakusanyana kama mambweha kupanga kujitoa ICC lakini hayatumii mikusanyiko hiyo kubuni jinsi ya kuwaondolea umaskini wananchi wao. Yanapanga kubadili katiba zao ili yatawale milele huku yakitafuna mali za umma kama mchwa - DONALD TRUMP
duh! ujuaji ni kitu kibaya sana aisee!Clinton anashinda. Kinachombeba trump sasa hivi ni kwamba kura za republicans zimegawanyika. Yaani wasiompenda trump wapo wengi ila wahajui wamchague nani wengine wanataka rubio wengine jeb bush nk. Trump anapendwa na kikundi kidogo cha watu. Naamini trump akiwa ana gombea dhidi ya mtu mmoja(clinton) hawez kushinda maana wamarekani wako tayari kupigia kura jiwe kuliko trump
.............yanakusanyana kama mambweha kupanga kujitoa ICC lakini hayatumii mikusanyiko hiyo kubuni jinsi ya kuwaondolea umaskini wananchi wao. Yanapanga kubadili katiba zao ili yatawale milele huku yakitafuna mali za umma kama mchwa - DONALD TRUMP
Kama unashindwa ku point ni sehem gani nimeleta ujuaji ni bora usi reply tu aisee.duh! ujuaji ni kitu kibaya sana aisee!
Kumbe marekani nako kuna ukataji duu!Mi nilijua hila na fitina ni bongo tu!Trump lazima akatwe!