Kati ya gari hizi nichukue ipi?

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,001
Mazingira ya kwetu ni milima ya upareni, milima, utelezi, makorongo nk.
images%20-%202022-05-19T102438.018.jpg


images%20-%202022-05-19T102438.018.jpg


images%20-%202022-05-19T102438.018.jpg
 
Mkuu, Vanguard ni Toyota Rav 4 iliochangamka.

Chukua hiyo Harrier Hybrid mzee baba. Sema bei ya moto.

Hiyo 3rd generation XU60 ni kuanzia mwaka 2013 kali sana.

Sema bei mbaya, iyo moja unapata vanguard mbili.
Sawa
 
Harrier moja upate vanguard mbili huo huongo kabisa.
Mkuu unabisha nini hapo?

Vanguard nimeipata hii beforward mfano ya 2011.

C95683D7-14D6-4550-9C96-4198A5A0E97A.png


Na ushuru wa TRA hapa:

ED61B1BE-A823-4466-A2D9-EF11A1F63FCC.png


Kwahiyo Mil 35 hivi unapata.

Haya tuje kwa Harrier kumbuka hiyo kwenye pic ni 3rd generation sio tako la sokwe.

Beforward nimeipata ya bei ndogo kabisa hii hapa:

061C6C98-B146-4885-83E5-B9E1B66ECD3D.png



Tuje ushuru wa TRA:

ADA82306-8635-42B2-943C-7117AF9C8C34.png

Kwahiyo jumla kama Mil 70 hivi.

Njoo na wewe uni prove wrong.
 
Mkuu unabisha nini hapo?

Vanguard nimeipata hii beforward mfano ya 2011.

View attachment 2230656

Na ushuru wa TRA hapa:

View attachment 2230657

Kwahiyo Mil 35 hivi unapata.

Haya tuje kwa Harrier kumbuka hiyo kwenye pic ni 3rd generation sio tako la sokwe.

Beforward nimeipata ya bei ndogo kabisa hii hapa:

View attachment 2230658


Tuje ushuru wa TRA:

View attachment 2230659
Kwahiyo jumla kama Mil 70 hivi.

Njoo na wewe uni prove wrong.
Msamehe tu. Nadhani yeye akisikia Harrier anawaza zile za zamani..

Kuna Kluger nayo model mpya hizi ni moto balaa.
 
Mkuu unabisha nini hapo?

Vanguard nimeipata hii beforward mfano ya 2011.

View attachment 2230656

Na ushuru wa TRA hapa:

View attachment 2230657

Kwahiyo Mil 35 hivi unapata.

Haya tuje kwa Harrier kumbuka hiyo kwenye pic ni 3rd generation sio tako la sokwe.

Beforward nimeipata ya bei ndogo kabisa hii hapa:

View attachment 2230658


Tuje ushuru wa TRA:

View attachment 2230659
Kwahiyo jumla kama Mil 70 hivi.

Njoo na wewe uni prove wrong.
Mkuu huyo jamaa anajua harrier Ni tako la nyani tu,hio harrier 3rd gen hajawahi hata kuisikia.
 
Mkuu unabisha nini hapo?

Vanguard nimeipata hii beforward mfano ya 2011.

View attachment 2230656

Na ushuru wa TRA hapa:

View attachment 2230657

Kwahiyo Mil 35 hivi unapata.

Haya tuje kwa Harrier kumbuka hiyo kwenye pic ni 3rd generation sio tako la sokwe.

Beforward nimeipata ya bei ndogo kabisa hii hapa:

View attachment 2230658


Tuje ushuru wa TRA:

View attachment 2230659
Kwahiyo jumla kama Mil 70 hivi.

Njoo na wewe uni prove wrong.
Kwani huko beforward na wenzake kuna nini? Altezza inaweza kukusimamia milioni 16/17 mpaka kuitoa nje? Hatari
 
Back
Top Bottom