Harrier moja upate vanguard mbili huo huongo kabisa.Mkuu, Vanguard ni Toyota Rav 4 iliochangamka.
Chukua hiyo Harrier Hybrid mzee baba. Sema bei ya moto.
Hiyo 3rd generation XU60 ni kuanzia mwaka 2013 kali sana.
Sema bei mbaya, iyo moja unapata vanguard mbili.
Mkuu unabisha nini hapo?Harrier moja upate vanguard mbili huo huongo kabisa.
Msamehe tu. Nadhani yeye akisikia Harrier anawaza zile za zamani..Mkuu unabisha nini hapo?
Vanguard nimeipata hii beforward mfano ya 2011.
View attachment 2230656
Na ushuru wa TRA hapa:
View attachment 2230657
Kwahiyo Mil 35 hivi unapata.
Haya tuje kwa Harrier kumbuka hiyo kwenye pic ni 3rd generation sio tako la sokwe.
Beforward nimeipata ya bei ndogo kabisa hii hapa:
View attachment 2230658
Tuje ushuru wa TRA:
View attachment 2230659
Kwahiyo jumla kama Mil 70 hivi.
Njoo na wewe uni prove wrong.
Mkuu huyo jamaa anajua harrier Ni tako la nyani tu,hio harrier 3rd gen hajawahi hata kuisikia.Mkuu unabisha nini hapo?
Vanguard nimeipata hii beforward mfano ya 2011.
View attachment 2230656
Na ushuru wa TRA hapa:
View attachment 2230657
Kwahiyo Mil 35 hivi unapata.
Haya tuje kwa Harrier kumbuka hiyo kwenye pic ni 3rd generation sio tako la sokwe.
Beforward nimeipata ya bei ndogo kabisa hii hapa:
View attachment 2230658
Tuje ushuru wa TRA:
View attachment 2230659
Kwahiyo jumla kama Mil 70 hivi.
Njoo na wewe uni prove wrong.
Atakua hana habari 🤣🤣Mkuu huyo jamaa anajua harrier Ni tako la nyani tu,hio harrier 3rd gen hajawahi hata kuisikia.
Harrier moja upate vanguard mbili huo huongo kabisa.
Kwani huko beforward na wenzake kuna nini? Altezza inaweza kukusimamia milioni 16/17 mpaka kuitoa nje? HatariMkuu unabisha nini hapo?
Vanguard nimeipata hii beforward mfano ya 2011.
View attachment 2230656
Na ushuru wa TRA hapa:
View attachment 2230657
Kwahiyo Mil 35 hivi unapata.
Haya tuje kwa Harrier kumbuka hiyo kwenye pic ni 3rd generation sio tako la sokwe.
Beforward nimeipata ya bei ndogo kabisa hii hapa:
View attachment 2230658
Tuje ushuru wa TRA:
View attachment 2230659
Kwahiyo jumla kama Mil 70 hivi.
Njoo na wewe uni prove wrong.
Mkuu ile AUDI niuzie basiMazingira ya kwetu ni milima ya upareni, milima, utelezi, makorongo nk.View attachment 2230331
View attachment 2230325
View attachment 2230326
Hio harrier ni 60m...upo mjomba...😂😂😂😂Harrier moja upate vanguard mbili huo huongo kabisa.
Mkuu bado unataka altezza? Zipo kibao za bei poa....Kwani huko beforward na wenzake kuna nini? Altezza inaweza kukusimamia milioni 16/17 mpaka kuitoa nje? Hatari