Unqualified.Mfumo unamkataa Vipi.? Kuna Ujumbe Gani Unakuja Wakati anapofanya Application
Ufaulu wake ukoje?Hapohapo ni mimi pia nina swali Kijana wangu anaomba SAUT, kozi ya Public Relations and Marketing mfumo unamkataa hajakidhi vigezo.
Je ni mtandao upo chini au kozi imejaa?
4.7gpaUfaulu wake ukoje?
Kama ana GPA ya 4.7 kwa kweli siwezi kujua tatizo ni nini kwani huo ni ufaulu mzuri. Jaribuni kuwapigia simu na pia ajaribu vyuo vingine kama wana hiyo program.4.7gpa
Nashukuru kwa saapotI.Kama ana GPA ya 4.7 kwa kweli siwezi kujua tatizo ni nini kwani huo ni ufaulu mzuri. Jaribuni kuwapigia simu na pia ajaribu vyuo vingine kama wana hiyo program.
Akasome Mass communication (BA in Mass comm)Ushauri kidogo ndugu zangu.
Bachelor of Arts In Journalism na Bachelor of Arts In Mass Communication, ipi ni kozi nzuri, maana mdogo wangu anataka kuomba.
Ushauri tafadhali
Kweli kabisa, journalism ipo ndani ya mass communicationAkasome Mass communication (BA in Mass comm)
Hiyo journalism ataikuta humohumo ndani ya BA in Mass Comm
Pamoja na hayo naomba nikuswalike!Ufaulu wake ukoje?