Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,161
- 1,493
Kwa sasa Mikutano anayofanya Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan pamoja na Wah. Mawaziri kwa ajili ya kutatua kero za Wananchi ndio yenye nguvu.
Mikutano ya Chama ni ama inahitaji hamasa mpya au mbinu mpya, UVCCM wenye hamasa yao naona bado wanajipanga.
Je tutegemee lolote kwenye mkutano ujao wa Chama?
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mikutano ya Chama ni ama inahitaji hamasa mpya au mbinu mpya, UVCCM wenye hamasa yao naona bado wanajipanga.
Je tutegemee lolote kwenye mkutano ujao wa Chama?
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania