Kati ya Alikiba na Harmonize nani mkali?

Deadbody

JF-Expert Member
May 30, 2015
4,276
6,585


kibaa.JPG


har.jpg


 
kunabaadhi ya watu ningekua moderator siku nyingi sana wangeskia jamiiforum kwenye radio
 
huwezi ukamsamanisha alikiba kwa Harmonize kiba ameshaisha anakalia jina tu na jeuri ..Harmonize ashampita sana tu.
 
Bila kufungamana na upande wowote... tukienda kwenye namba na uhalisia harmonize ni mwanamzik anae fanya vzur zaid tanzania kwa sasa aki fuatiwa kwa karibu na boss wake mond... alikiba ni kama ayuko serious na mziki ivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom