Ila Mh. Majaliwa amefanya jambo la maana sana, kwenye kuamua kutokugombea tena ubunge kweli kapiga hesabu vizuri sana baadae huyu atatufaa sana kuhamasisha vijana wapewe nafasi za kiuongozi na ajira.
Kaamua kufanya kitendo kitakachompa moral authority yakukemea mengi hapo baadae. Kweli ni mfano wakuigwa kwenye hili swala.
Anaweza kwenda chauma au act ili kuongeza idadi ya wabunge wa upinzani kwa misingi ya kuonyesha mataifa kuna demokrasia na kuzima kauli ya chadema ya no reform no election
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.