kidole cha mtoto tu,waliyonayo hawajitangaziNa mimi niko single alafu nina PIPE ya ukweli na ina joto balaa! naamini utaipenda.haya ni pm haraka pls!
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta mschana ambaye ni "wife material" ili nianzishe familia yangu. Sikupenda na hadi sasa bado nastruggle ili nifkishe miaka 30 nikiwa na mwenza. kifupi ni kuwa nikiwa chuo nilimaliza bila mchumba. Niko kazin kwa mwaka sasa, lakin kila mschana anayenivutia nakuta anamtu tayari na wengine hutamani endapo tungefahamiana kabla... wanaoning'ang'ania hawanivutii Kabisa! Hadi nimeshawshka kutafta hum Jf nikutane na ambao hawajapata, nashangaa hawajitokez! TATIZO NI NNI!?
masai dada! hamnaga fomula ya kutongoza...inategemea situation ya wakati huo
hapo ndo kosa lako lilipo hata mimi hutaki
Njoo pm kama anakuzingua.
Na mimi niko single alafu nina PIPE ya ukweli na ina joto balaa! naamini utaipenda.haya ni pm haraka pls!
daah! mkuu anzisha uzi wako watakufuata huko!! hapa niachie niwinde!
mh! hilo nalo nenoo!! lakini wengi wanaoning'ang'ania hatuendani kitabia. Mimi si mtu wastarehe kivile ila utakuta wanaojilengesha baada ya mda watataka out zisizonampangilio! Daah! ila ngoja niendelee kusubiri.