Kasoro hapa ni nini hasa!?

Kasoro hapa ni nini hasa!?

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,683
Reaction score
2,158
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta mschana ambaye ni "wife material" ili nianzishe familia yangu. Sikupenda na hadi sasa bado nastruggle ili nifkishe miaka 30 nikiwa na mwenza. kifupi ni kuwa nikiwa chuo nilimaliza bila mchumba. Niko kazin kwa mwaka sasa, lakin kila mschana anayenivutia nakuta anamtu tayari na wengine hutamani endapo tungefahamiana kabla... wanaoning'ang'ania hawanivutii Kabisa! Hadi nimeshawshka kutafta hum Jf nikutane na ambao hawajapata, nashangaa hawajitokez! TATIZO NI NNI!?
 
Hapo kasoro anaziona anaetongozwa je ameridhia kuwa na mtongozaji au la
 
Hapo kasoro anaziona anaetongozwa je ameridhia kuwa na mtongozaji au la

hilo laweza kuwa neno ila wachache sana naowatongoza nikakuta wako single sasa sijui wengine inakuwa defence tu! Kwani nikiambiwa "nina mtu tayari" nakosa gear ya kurudi tena
 
wengine hua kudefence unakuta hana mtu wala nini...kaza kamba uone kama hujachukua mzigo..huwezi kupata ambae hana mtu mkuu wote wanatumika tayari.
 
kasoro ni lugha zenu mnazotumia
Mbili Jf everything is Fake so ni kazi kumwamini mtu et Nakupenda....Nakupenda my foot.
 
hilo laweza kuwa neno ila wachache sana naowatongoza nikakuta wako single sasa sijui wengine inakuwa defence tu! Kwani nikiambiwa "nina mtu tayari" nakosa gear ya kurudi tena

Haujawakomalia nadhan
 
Kama umeshindwa hao unaowajua kwa sura hawa wahumu usiowajua utaweza?
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta mschana ambaye ni "wife material" ili nianzishe familia yangu. Sikupenda na hadi sasa bado nastruggle ili nifkishe miaka 30 nikiwa na mwenza. kifupi ni kuwa nikiwa chuo nilimaliza bila mchumba. Niko kazin kwa mwaka sasa, lakin kila mschana anayenivutia nakuta anamtu tayari na wengine hutamani endapo tungefahamiana kabla... wanaoning'ang'ania hawanivutii Kabisa! Hadi nimeshawshka kutafta hum Jf nikutane na ambao hawajapata, nashangaa hawajitokez! TATIZO NI NNI!?

Mkuu hao wanaoukung'ang'ania ndio wake zako ila unaowang'ang'ania hao sio wako.unaowataka wewe watakutia pressure mpaka ufe.
 
Mkuu hao wanaoukung'ang'ania ndio wake zako ila unaowang'ang'ania hao sio wako.unaowataka wewe watakutia pressure mpaka ufe.

mh! hilo nalo nenoo!! lakini wengi wanaoning'ang'ania hatuendani kitabia. Mimi si mtu wastarehe kivile ila utakuta wanaojilengesha baada ya mda watataka out zisizonampangilio! Daah! ila ngoja niendelee kusubiri.
 
hilo laweza kuwa neno ila wachache sana naowatongoza nikakuta wako single sasa sijui wengine inakuwa defence tu! Kwani nikiambiwa "nina mtu tayari" nakosa gear ya kurudi tena

kabla sijakupa ushauri nataka nijue unatongozaje

A;Eleza namna unavyotongoza
B;assume ni mimi unanitongoza nione wapi tatizo lilipo

hapa hapa usije pm
 
What do you mean by "HAWAVUTII".
Also "ANAYENIVUTIA".Anayevutia kivipi?
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta mschana ambaye ni "wife material" ili nianzishe familia yangu. Sikupenda na hadi sasa bado nastruggle ili nifkishe miaka 30 nikiwa na mwenza. kifupi ni kuwa nikiwa chuo nilimaliza bila mchumba. Niko kazin kwa mwaka sasa, lakin kila mschana anayenivutia nakuta anamtu tayari na wengine hutamani endapo tungefahamiana kabla... wanaoning'ang'ania hawanivutii Kabisa! Hadi nimeshawshka kutafta hum Jf nikutane na ambao hawajapata, nashangaa hawajitokez! TATIZO NI NNI!?




Taja mshahara wako watakuja sasa hivi!.
 
kabla sijakupa ushauri nataka nijue unatongozaje

A;Eleza namna unavyotongoza
B;assume ni mimi unanitongoza nione wapi tatizo lilipo

hapa hapa usije pm

masai dada! hamnaga fomula ya kutongoza...inategemea situation ya wakati huo
 
What do you mean by "HAWAVUTII".
Also "ANAYENIVUTIA".Anayevutia kivipi?

sidhani kama kuna watu wanapenda kutoka moyoni mwao, kuvaa nguo isiyowavutia! mtu mwenye uwezo japo wa kuchagua anachoamini atakipenda lazima atafanya "selection" ili kutafuta kinachomvutia/mlizisha....Back to the point now "namaanisha anayenivutia kuishi nae sehemu ya maisha iliyobaki hapa duniani"..na wasionivutia namaanisha wasionishawishi kimtazamo na kimaadili kuishi nao!
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta mschana ambaye ni "wife material" ili nianzishe familia yangu. Sikupenda na hadi sasa bado nastruggle ili nifkishe miaka 30 nikiwa na mwenza. kifupi ni kuwa nikiwa chuo nilimaliza bila mchumba. Niko kazin kwa mwaka sasa, lakin kila mschana anayenivutia nakuta anamtu tayari na wengine hutamani endapo tungefahamiana kabla... wanaoning'ang'ania hawanivutii Kabisa! Hadi nimeshawshka kutafta hum Jf nikutane na ambao hawajapata, nashangaa hawajitokez! TATIZO NI NNI!?

you must be HIV Aladeen...!!!
 
Back
Top Bottom