Kasongo seveni ndio nini?

Kasongo seveni ndio nini?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,065
Jamani naomba kujua,kasongo seveni ndio nini? Maana nasikia vijana wa hapa mtaani kwetu wanaiongelea ongelea hasa kwenye mambo ya mapenzi ila sijawahi kujua maana yake ni nini na inaongeza nini kwenye mapenzi.

Naombwa mwenye kujua kuhusu kasongo seveni na matumizi yake anisaidie kunielewesha.
 
Mchezaji wa zamani wa Mani yuu, sasa yuko real madrid. Kwa kiingereza anaitwa ''Ronaldo'' kwa kibongo bongo anaitwa ''Kasongo''. Anavaa jezi namba 7 na anajiita CR 7 (C.Ronaldo Seven) kwa kiswahili atakua Kasongo Seveni

Anahusikaje na Mapenzi huyu kasongo seveni? Huyu jamaa anapenda sana totoz ndo maana unaona wanaitumia huko.

Umeelewa sasa?
cc wazee wa mani yuu... Mr Rocky, utafiti, Excel etc
Jamani naomba kujua,kasongo seveni ndio nini? Maana nasikia vijana wa hapa mtaani kwetu wanaiongelea ongelea hasa kwenye mambo ya mapenzi ila sijawahi kujua maana yake ni nini na inaongeza nini kwenye mapenzi.

Naombwa mwenye kujua kuhusu kasongo seveni na matumizi yake anisaidie kunielewesha.
 
Last edited by a moderator:
Mchezaji wa zamani wa Mani yuu, sasa yuko real madrid. Kwa kiingereza anaitwa ''Ronaldo'' kwa kibongo bongo anaitwa ''Kasongo''. Anavaa jezi namba 7 na anajiita CR 7 (C.Ronaldo Seven) kwa kiswahili atakua Kasongo Seveni

Anahusikaje na Mapenzi huyu kasongo seveni? Huyu jamaa anapenda sana totoz ndo maana unaona wanaitumia huko.

Umeelewa sasa?
cc wazee wa mani yuu... Mr Rocky, utafiti, Excel etc

Aiseeee! RONALDO CHRISTIAN NDIO KWA KISWAHILI ANAITWA KASONGO?!
 
Last edited by a moderator:
Mchezaji wa zamani wa Mani yuu, sasa yuko real madrid. Kwa kiingereza anaitwa ''Ronaldo'' kwa kibongo bongo anaitwa ''Kasongo''. Anavaa jezi namba 7 na anajiita CR 7 (C.Ronaldo Seven) kwa kiswahili atakua Kasongo Seveni

Anahusikaje na Mapenzi huyu kasongo seveni? Huyu jamaa anapenda sana totoz ndo maana unaona wanaitumia huko.

Umeelewa sasa?
cc wazee wa mani yuu... Mr Rocky, utafiti, Excel etc

Nyie wazee muda mwingine mpunguze fix,tupeni elimu sisi vijana vingine hatuvijui.
 
Last edited by a moderator:
Kasongo ni muimbaji wa nyimbo za kijaluo, alikuwepo enzi hizo kitambo, nyimbo zake alikuwa anazipangilia kwa mfumo wa namba kama ifuatavyo;

Kasongo 1
Kasongo 2
Kasongo 3
kasongo 4
kasongo 5
Kasongo 6
Kasongo 7
 
Kuna msanii aliimbaga kasongo mwanamama,sijui alikuwa anamaanisha nini
 
Kasongo ninavyoijua mimi ni dawa ya kienyeji ya kuongeza uume unakuwa mnene na mrefu pia inakufanya uchelewe kupiz ukimkamata mwanamke mpaka anaomba poo na kama alikuwa na michepuo basi lazima atakuomba msamaha
 
Kasongo ninavyoijua mimi ni dawa ya kienyeji ya kuongeza uume unakuwa mnene na mrefu pia inakufanya uchelewe kupiz ukimkamata mwanamke mpaka anaomba poo na kama alikuwa na michepuo basi lazima atakuomba msamaha

Kumbe! Itakua ndio hiyo,aisee!
 
Mchezaji wa zamani wa Mani yuu, sasa yuko real madrid. Kwa kiingereza anaitwa ''Ronaldo'' kwa kibongo bongo anaitwa ''Kasongo''. Anavaa jezi namba 7 na anajiita CR 7 (C.Ronaldo Seven) kwa kiswahili atakua Kasongo Seveni

Anahusikaje na Mapenzi huyu kasongo seveni? Huyu jamaa anapenda sana totoz ndo maana unaona wanaitumia huko.

Umeelewa sasa?
cc wazee wa mani yuu... Mr Rocky, utafiti, Excel etc

hahahaaaa!!! ze killer iz yu tized...! ngoja nitoe heng-ova ntarudi!
 
Kasongo ni dawa ya kienyeji ambayo imesagwa na kuwa ungaunga unaipaka kwenye dushelele hasa mbele afu unaiacha kama nusu saa hv...ukiingia kwenye match unaweza kukaa hata 2 hours vitu havijatoka.inapatikana sana congo...
 
Tafadhali,kama hatujui kitu bora tunyamaze kuliko kumpotosha alieuliza.uungwana ni kitu cha bure.
 
Back
Top Bottom