Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,872
- 18,156
Mhe. huyu sana; Katibu wa Bunge amenukuliwa na gazeti la Tanzania Daima akisema "Kina mama ambao wanajua kuwa siku hiyo watauliza maswali utawaona siku hiyo wanavalia kikweli kweli ili waonekane…kwa kweli sisi tunaokaa tunaona mambo mengi na mengine yanasikitisha,"
Maswali:
Wacha kudhalilisha hiyo PhD yako! Au ni Phd ya kudesa?!
Maswali:
- Hivi kuvalia kikweli kweli ni kwa namna gani?
- Ulitaka wavae namna gani?
- Wewe ulipovaa hiyo suti wakati wa kuzungumza na waandishi wa habari ilikuwa ni kwa sababu ulitaka tuione kwenye runinga na magazeti?
Wacha kudhalilisha hiyo PhD yako! Au ni Phd ya kudesa?!