Kashfa za Mkurugenzi Muhimbili

Kuna dalili za ukweli wa haya mambo japo mtoa maada na mwandishi ametoa hii habari kwa mtindo wa majungu na wivu wa madaraka. Ni skitiko kubwa kwa huu ufujaji na nadhani uchunguzi wa kina unahitajika...
 
Hizo safari Njelekela anamuiga bosi mkubwa pale magogoni au?

Tiba
 

Usiendelee nitarudi hapa kuleta uhusiano wakimapenzi na mmoja wa wah wizara ya afya huku kijana mmoja wa moi akiendelea kufa bilakujijuwa

Nipemuda nifungue kwanza niko na swaumu Bado

Mod ihold hii thread mpaka ramadhani

Baadae nitakwambia nani anamlinda usitahamakki
 
Hata kama ni ukweli au uongo, huyu ni mkurugenzi acha naye asafiri ni malupu lupu ya mkurugenzi mbona JK anatumia 55 bn/= za safari? Mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake. Ha haaaaaaaa
 
kwa anayejua taratibu za manunuzi na malipo ya posho serikalini ataelewa hapa kuna kutafutana! hakuna pesa inatpka hovyo kwa eti mtu kuamua yeye mwenyewe bila kuwa iliombwa ktk bajeti !alipokuwa mewata michango kibao alisimamia na kufanya vizuri sana kufanikisha kazi zake!si mlizoea wakurugenzi kutoka maeneo flaniflani sasa ametoka sio huko !mwacheni achape kazi!hana mamlaka ya kufanya hayo mnayompakazia!
 

Ufisadi upigwe vita kokote but Story ilivyowekwa kuna harufu ya kuchafulia kwa majungu. Report ya CAG inasemaje kuhusu mnh
 
haya ni majungu ya ipp siajabu amenyimwa kitalu, hizo posho mbona za kawaida sana,
 
mwenzeu alikuja kutafuta pesa.
sasa hivi anajichotea fedha,waliokosa ndio roho zinauma,ila Mungu yupo!.kwani ataondoka nazo?,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
kweli wakubwa nina shemeji yenu yupo pale huyo mama tangu aje kuna matatizo kweli .hamna majungu hapo yote ni kweli,wanamadai mengi sana na mara nyingi hana kauli nzuri na walio chini yake,sio vizuri kutetea kitu ambacho hukijui vyema.
 

ACHA UPUNGUANI WEWE
BORA KUDESA KULIKO KU CREAM

NENDA KAULIZE KULICHOMPELEKA MAHAKAMANI DIR WA ATCL

NISAIDIE KUJUA ALINUNUAJe MAGARI. 26.kwa hela Ya used car Dubai nakupeleka receipt ya gari za new car frm japan

Shame
 
Nimesema na narudia tena sitakusema zaidi naombanimalize mfungo
 
Huu ni udaku, kwa Mkurugenzi wa Hospitali kubwa ya Muhimbili hivyo ni vijisenti.
 
Ni kawaida kwa serikali yetu kukosa pesa za kutengeneza x ray lakini za safari huwa hazikosekani hata siku moja
 
Iwe isiwe kuna tatizo Muhimbili

iwe isiwe kuna tatizo ccm. mbona kila anaeteuliwa ni mzigo ? ukianzia mawaziri kina wasira hadi wakuu wa mikoa hadi makabuti wakuu hadi wakuu wa wilaya hadi wakurugenzi. nipe watano tu walio safi nikurushie vocha sasa hhivi
 
ACHA UPUNGUANI WEWE
BORA KUDESA KULIKO KU CREAM

NENDA KAULIZE KULICHOMPELEKA MAHAKAMANI DIR WA ATCL

NISAIDIE KUJUA ALINUNUAJe MAGARI. 26.kwa hela Ya used car Dubai nakupeleka receipt ya gari za new car frm japan

Shame

KWA hiyo mkurugenzi WA ATCL akiiba ndo WA muhimbili pia aige?huyu kwani kanunua GARI used kaleta risiti ya GARI MPYA? posho kajilipa kwa rate iliyo sahihi je wapi kajilipa posho kwa rate isiyo sahihi.aheri ya Mimi punguani kuliko wewe unayejiona una akili lakini MZUSHI!hapa leta facts kanunua GARI bei sio halali !yani dollar elf TATU au tano unaona nyingi KWA safari za nje?hovyo kabisa !nenda bandarini uliza posho ya siku moja ya mkurugenzi akienda nje ni dollar ngapi ! iwap o DED wa halmashauri ya wilaya anatembelea GARI LA mil 180 cha ajabu kwa yeye kununuliwa GARI mnalomtuhumu ni nini? sema upasuke ila ndo mshashindwa majungu yenu! kama wewe unavuta Mimi nalipuliza! kwani wanaodai madeni wapo muhimbili tu?pita of c za serikali ujue? au unadhani posho ya safari haikuwa budgetted? au ndo nyinyi mlokuwa mnamuwekea vigingi enzi hizo?sasa kapata madaraka mnagwaya? Dr Marina mpambanaji tangu anasoma muhimbili!
 
mmezoea wakurugenzi wachaga..na wala msingesema!!!wacha na mtoto wa kingoni naye ale..majungu matupu.:llama:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…