Juma Kaseja ameanza kuchambua mechi za mpira kupitia kituo cha radio cha Clouds FM. Ikumbukwe pia Kaseja aliestaafu mpira msimu uliyopita, ana leseni ya ukocha wa makipa inayotambuliwa na CAF.
Juma Kaseja ameanza kuchambua mechi za mpira kupitia kituo cha radio cha Clouds FM. Ikumbukwe pia Kaseja aliestaafu mpira msimu uliyopita, ana leseni ya ukocha wa makipa inayotambuliwa na CAF.
Ataweza tu kwa kuwa bongo hakuna wachambuzi mahiri, karibia wote wanaelemea simba au yanga... kwa maana nyingine hakuna mtanzania asiyeweza kuchambua soka... kibongobongo kuchambua soka ni kama kuchambua mchele.
Hakuna weledi hata chembe.
Ataweza tu kwa kuwa bongo hakuna wachambuzi mahiri, karibia wote wanaelemea simba au yanga... kwa maana nyingine hakuna mtanzania asiyeweza kuchambua soka... kibongobongo kuchambua soka ni kama kuchambua mchele.
Hakuna weledi hata chembe.