MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,564
- 849
Kuna tetesi lengo la Simba ni kumkomoa Juma K, habari ambazo zimepatikana zinadai kwamba viongozi wa Simba na washabiki wao kwa ujumla iliwauma sana baada ya Juma K kusaini Yanga msimu ulopita. Mkakati uliopo ni kuhakikisha katika misimu miwili atakayokuwa Msimbazi Juma K atafanyiwa fitina hadi kummaliza kabisa kisoka ikiwa ni pamoja na kukalia benchi kwa sana.... Time will tell!!!
Inaonyesha wewe ndiye ulichukizwa sana kwa Kaseja kwenda Yanga. Soka la sasa ni kazi, mtu anakwenda anapoona kuna maslahi, mambo ya kukaa sehemu hata kama hakuna maslahi yamepitwa na wakati. Wamemsanisha tena kwa sababu Kaseja bado ni Mlinda mlango mzuri na nadhani atawasaidia sana Simba.
Kwahiyo hizo habari za kufikirika sidhani kama zina wakati tena.
Mgosi ameachwa dakika za mwisho mwisho. Source hii HAPA