Unajua, hili kaburi liko hivi kwa ajili ya Muungano. Ni Watanganyika wamefanya hadi jamaa washindwe kuondoa vipande vya bati na kusafisha nyasi sehemu ambapo Vigogo wa Zenji wanakuja kusali. Sijui ni kaburi la nani. Ila anaonekana alikuwa mtu maarufu na walishindwa kabisa kulisafisha kabla ya MISA. Hii ilifanyika ili kuonyesha uonevu wa Wabara kwa Wazenji, Saafi sana.
Safi sana ... yaani unamaanisha hapo ilikuwa inamiminwa misa... hayaga weeeee mi simo
.................................
Amani yetu inatumiwa vibaya.