Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Na mkwanja nilisepa nao ulifikaje home?
wallet haikuwa na kitu, hakatwi mtu apa! LOL
Na mkwanja nilisepa nao ulifikaje home?
Shem wangu wa ukweli mi napita tu hata sijasoma ulichoandika
Wiki ya tatu? Hii ni disaster hakya nani.... lara 1 anasemaga 'dangerous times call for dangerous measures' sasa sijui hapa inakuwaje hoomie Asprin come zis way kabla shemeji BADILI TABIA hajafanya maamuzi magumu
Hommie kuku wako mwenyewe kuna sababu ya kumtafutia manati??Wiki ya tatu? Hii ni disaster hakya nani.... lara 1 anasemaga 'dangerous times call for dangerous measures' sasa sijui hapa inakuwaje hoomie Asprin come zis way kabla shemeji BADILI TABIA hajafanya maamuzi magumu
Tatizo hubby umeadimika nyumbani.....
Na huyo aliyekuloga ukaanza kutoa siri za ndani ni nani nikamUfoo?
Hommie kuku wako mwenyewe kuna sababu ya kumtafutia manati??