Karo juu shule ya Trust St. Patrick Arusha

Shule ya St. Patrick Arusha imepandisha tena ada kwa mwaka 2016. Hata hivyo, ada ambayo ilikuwa inalipwa mwaka huu wa 2015 bado ilikuwa juu. Kila mwaka shule hii inapandisha ada za shule. Na cha ajabu watoto waliyomaliza darasa la saba mwaka huu walilipa ada temu tatu badala ya temu mbili kwani watoto walikaa shule temu mbili tu na wiki ya kwanza ya temu ya tatu wakamaliza shule.

Malipo ya mtoto wa darasa la saba kwa mwaka huu yalilipwa kama ifuatavyo;

temu ya kwanza laki tisa,
temu ya pili laki nane na
temu ya tatu laki nane.

Ada hii ni kubwa sana na inazidi hata baadhi ya ada za shule za binafsi za sekondari. Kimsingi hizi shule hazitoi huduma bali zinafanya biashara. Tunaomba sana serikali na mamlaka husika ifuatilie hizi shule binafsi kwani zinaumiza sana Watanzania. Pia tunaomba serikali itoe bei elekezi kwa hizi shule.

Nina imani na serikali ya rais ​Magufuli kuwa itashulikia swala hili mapema iwezekanavyo kabla ya mwaka huu kuisha.

Acheni Ujinga hizo JPM aboreshe shule za UMMA ndio muarobaini wa shule binafsi na si kuziingilia kidikteta. shule za binafsi hazitaweza kutoza ADA bei kubwa kama serikali itaboresha shule zake. Kudhibiti ADA kwenye shule binafsi kutaathiri watanzania wengi wanao fanya kazi huko kama walimu, walinzi, wafagizi, wapishi, madereva na wengineo. Wafanyakazi wengi watapunguzwa kazini na kupunguziwa mishahara. Serikali iboreshe na kusimamia shule zake na si kukimbia majukumu yake na kwenye kumdhibiti mshindani wake.
 
Siyo St Patrick tu wanachaji karo ya juu, ziko shule nyingi za namna hiyo ndo maana nimeomba serikali itoe bei elekezi. watu wengine sijui vipi, wabinafsi kwelikweli eti kwasababu yeye ana uwezo basi hafikirii watanzania wengine ambao hawana uwezo. watu hao ni sawa na wale wanaoishi na maskini na barabara za kufika maskani mwao ni mbovu, sasa badala ya kujitolea atengeneze barabara anaamua kwenda kununua gari ya juu ya miguu minne, huyo ni ubinafsi
 
Wewe ni mbulula kweli kwani lazima mtoto wako asome hapo? Siuwapishe wenye hela zao? Kwa hiyo unataka mtoto wako ale chips kuku, uji wa nido, aoge maji ya moto, atibiwe, apelekwe study tour kajado kenya kwa laki moja? Pumbavu zako. Ujue hao wenye shule zao wameboresha huduma zao kuanzia walimu mpaka chakula sasa kama mnataka ada yao ishuke mnatakiwa mlalamikie serikali yenu iboreshe huduma zote ili hao wakose bei. Mjue kabisa hao wenye shule zao wanapambana na ushindani wa shule zingine
 
Shule ya St. Patrick Arusha imepandisha tena ada kwa mwaka 2016. Hata hivyo, ada ambayo ilikuwa inalipwa mwaka huu wa 2015 bado ilikuwa juu. Kila mwaka shule hii inapandisha ada za shule. Na cha ajabu watoto waliyomaliza darasa la saba mwaka huu walilipa ada temu tatu badala ya temu mbili kwani watoto walikaa shule temu mbili tu na wiki ya kwanza ya temu ya tatu wakamaliza shule.

Malipo ya mtoto wa darasa la saba kwa mwaka huu yalilipwa kama ifuatavyo;

temu ya kwanza laki tisa,
temu ya pili laki nane na
temu ya tatu laki nane.

Ada hii ni kubwa sana na inazidi hata baadhi ya ada za shule za binafsi za sekondari. Kimsingi hizi shule hazitoi huduma bali zinafanya biashara. Tunaomba sana serikali na mamlaka husika ifuatilie hizi shule binafsi kwani zinaumiza sana Watanzania. Pia tunaomba serikali itoe bei elekezi kwa hizi shule.

Nina imani na serikali ya rais ​Magufuli kuwa itashulikia swala hili mapema iwezekanavyo kabla ya mwaka huu kuisha.

Muhamishe mwanao kwenye shule zisizolipa ada kubwa.
 
Shule ya St. Patrick Arusha imepandisha tena ada kwa mwaka 2016. Hata hivyo, ada ambayo ilikuwa inalipwa mwaka huu wa 2015 bado ilikuwa juu. Kila mwaka shule hii inapandisha ada za shule. Na cha ajabu watoto waliyomaliza darasa la saba mwaka huu walilipa ada temu tatu badala ya temu mbili kwani watoto walikaa shule temu mbili tu na wiki ya kwanza ya temu ya tatu wakamaliza shule.

Malipo ya mtoto wa darasa la saba kwa mwaka huu yalilipwa kama ifuatavyo;

temu ya kwanza laki tisa,
temu ya pili laki nane na
temu ya tatu laki nane.

Ada hii ni kubwa sana na inazidi hata baadhi ya ada za shule za binafsi za sekondari. Kimsingi hizi shule hazitoi huduma bali zinafanya biashara. Tunaomba sana serikali na mamlaka husika ifuatilie hizi shule binafsi kwani zinaumiza sana Watanzania. Pia tunaomba serikali itoe bei elekezi kwa hizi shule.

Nina imani na serikali ya rais ​Magufuli kuwa itashulikia swala hili mapema iwezekanavyo kabla ya mwaka huu kuisha.

Wewe unafurahisha kama siyo kusikitisha .... Umwmtoapi mtoto wako shule za Serikali ANZA kata ukampeleka huko kwa hiari yako... Sasa unalalamika nini..?!! Si umwondoe mwanao mpeleke shule unayomudu kulipia. Hujalazimishwa kuacha mtoto wako hapo... Unang'ang'ania kunywa soda Kempiski kwa bei ya mgahawani...!!!!
 
Wewe unafurahisha kama siyo kusikitisha .... Umwmtoapi mtoto wako shule za Serikali ANZA kata ukampeleka huko kwa hiari yako... Sasa unalalamika nini..?!! Si umwondoe mwanao mpeleke shule unayomudu kulipia. Hujalazimishwa kuacha mtoto wako hapo... Unang'ang'ania kunywa soda Kempiski kwa bei ya mgahawani...!!!!

hapo penya "unang'ang'ania kunywa soda kempiski kwa bei ya mgahawani/uswazi ndo penyewe.
 
hahaa muziki huwezi kuucheza toka tuachie wenzio tuucheze....kuna arusha sec pia usiaahau na shule ya msingi meru..kwa nn usimpeleke huko?
 
Shule ya St. Patrick Arusha imepandisha tena ada kwa mwaka 2016. Hata hivyo, ada ambayo ilikuwa inalipwa mwaka huu wa 2015 bado ilikuwa juu. Kila mwaka shule hii inapandisha ada za shule. Na cha ajabu watoto waliyomaliza darasa la saba mwaka huu walilipa ada temu tatu badala ya temu mbili kwani watoto walikaa shule temu mbili tu na wiki ya kwanza ya temu ya tatu wakamaliza shule.

Malipo ya mtoto wa darasa la saba kwa mwaka huu yalilipwa kama ifuatavyo;

temu ya kwanza laki tisa,
temu ya pili laki nane na
temu ya tatu laki nane.

Ada hii ni kubwa sana na inazidi hata baadhi ya ada za shule za binafsi za sekondari. Kimsingi hizi shule hazitoi huduma bali zinafanya biashara. Tunaomba sana serikali na mamlaka husika ifuatilie hizi shule binafsi kwani zinaumiza sana Watanzania. Pia tunaomba serikali itoe bei elekezi kwa hizi shule.

Nina imani na serikali ya rais ​Magufuli kuwa itashulikia swala hili mapema iwezekanavyo kabla ya mwaka huu kuisha.
sijaelewa, umelazimishwa kupeleka mtoto wako pale? kuna shule za kata unalipa alfu 20 tu, mpeleke huko.
 
Shule ya St. Patrick Arusha imepandisha tena ada kwa mwaka 2016. Hata hivyo, ada ambayo ilikuwa inalipwa mwaka huu wa 2015 bado ilikuwa juu. Kila mwaka shule hii inapandisha ada za shule. Na cha ajabu watoto waliyomaliza darasa la saba mwaka huu walilipa ada temu tatu badala ya temu mbili kwani watoto walikaa shule temu mbili tu na wiki ya kwanza ya temu ya tatu wakamaliza shule.

Malipo ya mtoto wa darasa la saba kwa mwaka huu yalilipwa kama ifuatavyo;

temu ya kwanza laki tisa,
temu ya pili laki nane na
temu ya tatu laki nane.

Ada hii ni kubwa sana na inazidi hata baadhi ya ada za shule za binafsi za sekondari. Kimsingi hizi shule hazitoi huduma bali zinafanya biashara. Tunaomba sana serikali na mamlaka husika ifuatilie hizi shule binafsi kwani zinaumiza sana Watanzania. Pia tunaomba serikali itoe bei elekezi kwa hizi shule.

Nina imani na serikali ya rais ​Magufuli kuwa itashulikia swala hili mapema iwezekanavyo kabla ya mwaka huu kuisha.

Kwani ni lazima upeleke mtoto wako hapo? Mbona magufuli ameamua kulipia hadi uji ni wewe tu na mwanao Nenda kwa magu bana kha!!
 
Back
Top Bottom