Karibuni wa Mzumbe University

Karibuni wa Mzumbe University

AfricaUnited

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2010
Posts
2,415
Reaction score
1,386
hii ni thread special kwa ajili ya wanafunzi wa mzumbe kujuana na kujadili mambo tofauti,pia vyuo vingine mnakaribishwa.kwanza kabisa chuo kitafunguliwa tarehe 14.10,mwenye mengine endelea
 
Mzumbe mkifika mtajua vyote mnavyotaka kujua vuten subra wakati wa kujua utafika
 
Broh me naulizia tu kuhusu cozi ya Bachelor of Science Economics in Policy Planning (BSc. ECO-EPP) vipi iko poa ki maslahi
 
Walee wadogo zangu wa mzumbe wanaokuja mzumbe morogoro kwanza karibuni then kama unamaswali ungependa kujua nitafute through this number 0718859577 karibuni sana havard of tanzania
 
mzoefu wa mzumbe campus ya mbeya plz,vipi kuhusu hostel za off campus?
 
hii ni thread special kwa ajili ya wanafunzi wa mzumbe kujuana na kujadili mambo tofauti,pia vyuo vingine mnakaribishwa.kwanza kabisa chuo kitafunguliwa tarehe 14.10,mwenye mengine endelea

kuhusu mtakaokosa hostel na kuhusu mazingira na mambo mengine kwa ujumla mnaweza mkanitafta kupitia namba hizi 0712 787161 tujue tutasaidiana vip ndugu zangu. ahsanteni!
 
Oya karibuni sana, welcome to the Harvard of Africa, kama unataka kujua chochote kuhusu mzumbe unaweza nipata kwa namba 0763643199
 
Mzumbe university is the only university where great administrators are found. For those who are interested on studying administation and management you can join us at Mzumbe university.
#MU
 
Back
Top Bottom