Karibuni tufanye biashara ya Karne ya 21

Karibuni tufanye biashara ya Karne ya 21

Omuziba

Member
Joined
Jun 30, 2017
Posts
57
Reaction score
12
Mfumo wa biashara ya mitandao ni mfumo ambao unapendekezwa kufanywa katika karne hii ya 21, kwa sababu ni mfumo ambao umeisha tengenezwa na kampuni wewe kazi yako kubwa ni kununua kwenye mfumo ambapo utaunganishwa ndani ya huo mfumo
Ukisoma kitabu cha Robert kiyosaki Ushauri kwa MTU anayetaka kuanza biashara inabidi ajikite kwenye kutengeneza mfumo na mfumo ipo ya aina tatu:-
1:Traditional C-type corporation ambapo unatengeza mfumo wako mwenyewe: Tatizo la hapa utapata changamoto nyingi pia itachukuwa muda mrefu kutengeneza mfumo, mfano mtu anayetaka kuanzisha mradi au kampuni Fulani,
2.Frenchise:- ambapo unanunua mfumo ambao umeiasha tengenezwa tiyari, Tatizo la hapa inahitajika mtaji mkubwa kuweza kununua mfumo,
3.Network marketing(multilevel marketing) hii ni biashara ya mtandao ;-ambapo unanunua kwenye mfumo uliopo, uzuri wa hapa hakuitajiki mtaji mkubwa kuweza kumiliki mfumo. Pia sio rahisi kushindwa kwasababu changamoto zote zinakuwa zimeiasha tatuliwa na wanzilishi wa mfamo, kuna changamoto za kawaida
Pia sio rahisi kushindwa kwa sababu watu walioko kwenye timu yako watakupa mbinu mbadala ya kupambanua changamoto
Pia huu mfumo unafaa sana katika ulimwengu huu wa utandawazi
Mwisho kabisa nawakaribisheni
Mujiunge kwenye kampuni yetu ya alliance global in motion yenye
Mfumo wa network marketing hakika hautajutia kujiunga wasiliana na 0757409103 kufahamu zaidi
 
Nyie kwa siku naweza tengeneza milion ngapi? Maana wale wengine wanatengeneza milion 3 kwa siku!
 
Nyie kwa siku naweza tengeneza milion ngapi? Maana wale wengine wanatengeneza milion 3 kwa siku![/QUOTE
Kwa siku kampuni inaweza kukulipa pair 16
Kila pair ni sh69000 kwa hiyo ni sawa na sh 1104000 Hiyo ni kwa account moja unaruhusiwa kuanza na account saba zidisha hiyo Mara 7 . kwa hiyo kwa siku unaweza kuingiza million saba.
Na ukipenda cheo unaruhusiwa kuongeza account kwa hiyo kwa siku unaweza ukaingiza zaidi ya million saba
Karibuni sana, evidence za watu wanaoingiza hiyo hela zipo
 
Mfumo wa biashara ya mitandao ni mfumo ambao unapendekezwa kufanywa katika karne hii ya 21, kwa sababu ni mfumo ambao umeisha tengenezwa na kampuni wewe kazi yako kubwa ni kununua kwenye mfumo ambapo utaunganishwa ndani ya huo mfumo
Ukisoma kitabu cha Robert kiyosaki Ushauri kwa MTU anayetaka kuanza biashara inabidi ajikite kwenye kutengeneza mfumo na mfumo ipo ya aina tatu:-
1:Traditional C-type corporation ambapo unatengeza mfumo wako mwenyewe: Tatizo la hapa utapata changamoto nyingi pia itachukuwa muda mrefu kutengeneza mfumo, mfano mtu anayetaka kuanzisha mradi au kampuni Fulani,
2.Frenchise:- ambapo unanunua mfumo ambao umeiasha tengenezwa tiyari, Tatizo la hapa inahitajika mtaji mkubwa kuweza kununua mfumo,
3.Network marketing(multilevel marketing) hii ni biashara ya mtandao ;-ambapo unanunua kwenye mfumo uliopo, uzuri wa hapa hakuitajiki mtaji mkubwa kuweza kumiliki mfumo. Pia sio rahisi kushindwa kwasababu changamoto zote zinakuwa zimeiasha tatuliwa na wanzilishi wa mfamo, kuna changamoto za kawaida
Pia sio rahisi kushindwa kwa sababu watu walioko kwenye timu yako watakupa mbinu mbadala ya kupambanua changamoto
Pia huu mfumo unafaa sana katika ulimwengu huu wa utandawazi
Mwisho kabisa nawakaribisheni
Mujiunge kwenye kampuni yetu ya alliance global in motion yenye
Mfumo wa network marketing hakika hautajutia kujiunga wasiliana na 0757409103 kufahamu zaidi
Alliance global in motion inajihusisha na vitu Gan mkuu, nifafanulie kdg ndg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2.Frenchise:- ambapo unanunua mfumo ambao umeiasha tengenezwa tiyari, Tatizo la hapa inahitajika mtaji mkubwa kuweza kununua mfumo,
3.Network marketing(multilevel marketing) hii ni biashara ya mtandao ;-ambapo unanunua kwenye mfumo uliopo, uzuri wa hapa hakuitajiki mtaji mkubwa kuweza kumiliki mfumo. Pia sio rahisi kushindwa kwasababu changamoto zote zinakuwa zimeiasha tatuliwa na wanzilishi wa mfamo, kuna changamoto za kawaida
Pia sio rahisi kushindwa kwa sababu watu walioko kwenye timu yako watakupa mbinu mbadala ya kupambanua changamoto
Pia huu mfumo unafaa sana katika ulimwengu huu wa utandawazi
Mwisho kabisa nawakaribisheni
Mujiunge kwenye kampuni yetu ya alliance global in motion yenye
Mfumo wa network marketing hakika hautajutia kujiunga wasiliana na 0757409103 kufahamu zaidi

= franchise
 
Mfumo wa biashara ya mitandao ni mfumo ambao unapendekezwa kufanywa katika karne hii ya 21, kwa sababu ni mfumo ambao umeisha tengenezwa na kampuni wewe kazi yako kubwa ni kununua kwenye mfumo ambapo utaunganishwa ndani ya huo mfumo
Ukisoma kitabu cha Robert kiyosaki Ushauri kwa MTU anayetaka kuanza biashara inabidi ajikite kwenye kutengeneza mfumo na mfumo ipo ya aina tatu:-
1:Traditional C-type corporation ambapo unatengeza mfumo wako mwenyewe: Tatizo la hapa utapata changamoto nyingi pia itachukuwa muda mrefu kutengeneza mfumo, mfano mtu anayetaka kuanzisha mradi au kampuni Fulani,
2.Frenchise:- ambapo unanunua mfumo ambao umeiasha tengenezwa tiyari, Tatizo la hapa inahitajika mtaji mkubwa kuweza kununua mfumo,
3.Network marketing(multilevel marketing) hii ni biashara ya mtandao ;-ambapo unanunua kwenye mfumo uliopo, uzuri wa hapa hakuitajiki mtaji mkubwa kuweza kumiliki mfumo. Pia sio rahisi kushindwa kwasababu changamoto zote zinakuwa zimeiasha tatuliwa na wanzilishi wa mfamo, kuna changamoto za kawaida
Pia sio rahisi kushindwa kwa sababu watu walioko kwenye timu yako watakupa mbinu mbadala ya kupambanua changamoto
Pia huu mfumo unafaa sana katika ulimwengu huu wa utandawazi
Mwisho kabisa nawakaribisheni
Mujiunge kwenye kampuni yetu ya alliance global in motion yenye
Mfumo wa network marketing hakika hautajutia kujiunga wasiliana na 0757409103 kufahamu zaidi
unatafuta vichwa au sio
 
du! kuingiza million saba kwa mwezi yaani milioni mia mbili na kumi kwa mwezi tena ukiwa umestarehe
Napata mashaka
 
du! kuingiza million saba kwa mwezi yaani milioni mia mbili na kumi kwa mwezi tena ukiwa umestarehe
Napata mashaka
 
Alliance global in motion inajihusisha na vitu Gan mkuu, nifafanulie kdg ndg

Sent using Jamii Forums mobile app
Inajihusisha na bidhaa za food supplements
Ambazo baadhi yake in hizi
1:Liven coffee: Hii ni kahawa iliyoondolewa na caffeine hii inafaa kutumiwa kama kinywaji inaruhusiwa kutumika kwa watu wale ambao imani hairuhusu kutumia kahawa kwani imepitishwa na HALAL kuwa haina caffeine pia INA madini yanayosaidia kuongeza nguvu za kiume
2.C24/7.
Hii ni bidhaa ambayo ina phytonutrients karibia 22000 pia ina antioxidants ,halafu pia ina anti aging(antioxidant enhancers)

-inasaidia kudhibiti Kansa
-kudhibiti magonjwa ya moyo
-kurefusha maisha ya seli hivyo inasaidia kupunguza uwezekano wa kuzeeka mapema
Kwani ina antioxidant enhancers(anti aging)
3.Choleduz :Ina Choleduz omega 3 ambayo ni essential fatty acid inayosaidia kupunguza
Cholesterol ambazo haziitajiki mwilini kazi kubwa ya Choleduz ni kama
-kupunguza bad cholesterol (mafuta ambayo mabaya, ambayo hayahitajiki mwilini)
-kupunguza kitambi
-kupunguza shinikizo la damu(blood pressure)
-kuimarisha afya ya macho
-kuwezesha ubongo kufanya kazi kwa ufanisi na hivyo kuongeza uwezo wa kufikiria
4.Complete: hii inafanya kazi sawa na C24/7 tofauti take haina Antioxidant enhancers (anti aging) hii inatumiwa na watoto chini ya
Miaka 12 kwani hawaitaji antiaging , pia mama mwenye mimba wanaitumia kama mbadala wa C24/7
5.Restor Lyf.hii inasaidia kurudisha mwili katika hali yake ya kawaida mfano
-kudhibiti drug addiction kamavile nicotinic addiction (kuishi kwa kutegemea sigara), pia alcoholic addiction (kuishi kutegemea pombe)
6.mychocco
Hiki ni kinywaji(juice) ambayo inakuwa imewekwa kwenye packet katika mfumo wa unga hii juice inatumika kuongeza hamu ya kula kwa mtoto pia inasaidia kuongeza ufanisi wa ubongo wa mtoto na pia inaongeza kinga ya mwili kwa mtoto
 
Back
Top Bottom