Karibuni Tabora asali inakotokea

Kumbe nandugu huku,najivunia kuwa mnyamwezi wa chabutwa na skonge
 
Oooh safi sana, kote huko kuna ndugu zangu..... nikielezea sana ntaanika mchele upenuni. Mke huwa naenda kila nikipata off hata ya siku 3 maana likizo huwa nadakwa juu kwa juu hehehehe.
Anakudaka Nani Kasie au yule kibabu wa Singapore
 
Hahaa.. haina haja kuweka wazi, muhimu nimefurahi kumjua mtu ninaetoka nae sehemu moja.

Nami nimefurahi kuwafahamu wanyamwezi wenzangu. Tabora mojaa, malkia mwenyewe (Queen Elizabeth) alitukubali alifika hadi Tabora miaka hiyo hapana chezea asali hehehehe.
 
Hata sijui anaitwa nani mie huwa naupenda sana huu wimbo, pale unapopigwa nikipata nafasi ya kuucheza naucheza vizuri huku nikiringa na kujinyonga kinyamwezi hahahahahaha raha sana.

I love being nyamwezi.
Ooh,mkuu unAonekana upo vzr kwenye sekta hiyo,it is my great wish nikuone siku moja ukicheza
 
Sikonge- FDC, kuna yeyote humu wa mtaa huo?

Nna ndugu wengi Sikonge japo siku nyingi sijaenda. Shangazi na baba wadogo wameambaa maeneo mbali mbali ya Tabora.
 
Asali ya Tabora imejaa Tumbaku.
 
Ooh,mkuu unAonekana upo vzr kwenye sekta hiyo,it is my great wish nikuone siku moja ukicheza

Hehehehehehehee na siku ukifanikiwa kuniona nacheza hutochoka kunitazama na hutotaka kuacha kuniangalia mara kwa mara nikiwa nacheza....... maana huwa nacheza kuanzia ndani kisha movement zinazotokea nje nini auto hata mie mwenyewe huwa najishangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…