Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Wakuu,kuna ratiba ambayo inakera sana siku hz Songea na haya ndio maisha bora na big result now kwa kila Mwanasongea.Angalia ratiba ya umeme ilivyo na mchanganyo:
1.Kuwaka saa nne usiku kuzima saa 3:20 asubuhi.
2.Kuwaka saa 3:20 asubuhi kuzima saa moja moja kamili usiku.
3.Wakizima saa moja usiku kuwasha saa sita usiku na kuzima saa 3:20 asubuhi.
Mgao hapo haujasahaulika pia. Kabla sijasahau,maji yanaweza kukatwa siku 3 hadi 4 na wakiyaleta basi ni usiku wa manane.
Haya ndio maisha bora kwa watanzania. CCM safiiiiiiii....
1.Kuwaka saa nne usiku kuzima saa 3:20 asubuhi.
2.Kuwaka saa 3:20 asubuhi kuzima saa moja moja kamili usiku.
3.Wakizima saa moja usiku kuwasha saa sita usiku na kuzima saa 3:20 asubuhi.
Mgao hapo haujasahaulika pia. Kabla sijasahau,maji yanaweza kukatwa siku 3 hadi 4 na wakiyaleta basi ni usiku wa manane.
Haya ndio maisha bora kwa watanzania. CCM safiiiiiiii....