prosper Augustino
Senior Member
- Nov 2, 2016
- 154
- 49
Poa tunakuja taarifa tunazo
Mkuu utakua umetoa nafasi kwa mimi mhitimu kulipa kodi na kuiletea maendeleo Tanzania, kama una post niajiri mkuu.Waje ili sisi tuliomaliza la saba C,tuwaajiri!!
Lazma cc wa lasaba science tuwaajiri
Wengine walikua vimbelembele kushadadia wimbo wa tutaisoma namba. Sasa waache waje wazihesabuMwezi huu kumekuwa na mahafari mengi karibia kila chuo kikuu tanzania, vijana na kina dada wamefurahia kumaliza masomo yao na kutunukiwa vyeti, na wakajawa sura za furajha huku wamevaa ma joho yao.
Swali je mmejiandaa vyema na maisha ya mtaani...maana huku ajira bado uhakiki unaendelea.