Karibuni kwetu nyumbani

huko kwenu rais wake anaitwa nani.....?
 
aksante sana kutukaribisha kwenu, tutakuja tu, .
 
Nasikia Al Queda walishiriki ujenzi wa kituo hiki huku Hezbollah wakitoa mchango mkubwa wa fedha
 
houng ji touw ndio rais wao..

Akhsante kwa kujaribu hata hivyo kabla kumjua raisi wetu nataka nijuwe nani anapenda kuja kutembea ili nipange safari yake.
 
Nipazuri nipazuri kweli nakuambia
 
kumbe ndivyo mnavyoishi?Nalog off
Mi napenda wewe uwe wa mwanzo kuja kutembea huku.Usiwe unalog off kihivyo.Pata muda uangalie kidogo mazingira.
Hapo kwenye HABITABLE VOLUME ni ofisi yetu ndogo.Angalia hata kompyuta huwa tunaandika kwa kusimama.
Ukiingia ofisi kubwa ndio utapenda zaidi.Kwa sasa namimi nalog off nipate muda kuchungulia dunia yenu ikichomoza kulia kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…