Wewe ndiye uliyetakiwa kuniunga bundle la mwaka mpaka sasa hujanifanya lololte zaidi ya kunipa application tu.Hivi mkiwa waaminifu na kufanya kazi zenu kwa weledi hamjui ya kuwa ndio msingi wa maendeleo ya kazi zenu angalieni haya mtakutana na watu wanaomwachia Mungu alafu mambo yenu yashughulikiwe na Mungu maana sidhani kama Mungu anafurahia Mja wake nikitapeliwa peupe atafanya njia