Wonderful!! sasa bango kama hilo kalibandike Buguruni, uone kama hutopigwa mawe!!
ila wamesahau mstari mmoja
"KWA MAKUBALIANO RASMI, TUNARUHUSU KUINGIA MWANAUME NA MWANAUME"
Au ndo umeedit mkuu MziziMkavu
acha ny***g* na us***ng** unavyoona hio ni tabia yako kufanywa hvyo dont think kwamba wa2 wote wako km wew sisi watu wa jazira hatutambui km mwanaume anaweza kumlala m,ume mwenzake takwimu zinaonyesha kwamb arusha kunaongoza kwa ushoga tz ndio maana mp wao ni mtaalam wa masuala ya mini kbg a
g kw hyo hayo mambo yaishie hko hko upand w pli wa shlng ucfkirie km na huku yapo na wla hayotofika inshallah
Wonderful!! sasa bango kama hilo kalibandike Buguruni, uone kama hutopigwa mawe!!
ila wamesahau mstari mmoja
"KWA MAKUBALIANO RASMI, TUNARUHUSU KUINGIA MWANAUME NA MWANAUME"
Au ndo umeedit mkuu MziziMkavu
Sasa MziziMkavu cha ajabu nini hapo, nyie huko bara ndo mwajiendea tu holela katika nyumba za wageni bila kulinda madili huku kwetu Pemba shurti kwa certificate kudhibitisha uhalali wa mwanamke uliye naye, hatutaki uzinzi huku