Wonderful!! sasa bango kama hilo kalibandike Buguruni, uone kama hutopigwa mawe!!
ila wamesahau mstari mmoja
"KWA MAKUBALIANO RASMI, TUNARUHUSU KUINGIA MWANAUME NA MWANAUME"
Au ndo umeedit mkuu MziziMkavu
Sasa MziziMkavu cha ajabu nini hapo, nyie huko bara ndo mwajiendea tu holela katika nyumba za wageni bila kulinda madili huku kwetu Pemba shurti kwa certificate kudhibitisha uhalali wa mwanamke uliye naye, hatutaki uzinzi huku