Hurumaaunamuonea wivu dadaako
Nipo shangazi yangu! Mzoee tu babu yako, unaweza jikuta hata wewe ni mama yake mkubwa.Changazi umenisusa kweli mpk babu kanionesha shangazi mweingine
Utulipe fidia.Kwa hiyo najipendekeza undugu mimi! Nilipeni faini ndiyo msamaha utoke
me nikihonga usiku sipati usingizi isee,narusharusha miguu mpaka kokoriko na kuota ndoto za mauzauzaKaribuni wazee wa jaza ujaziwe, wazee wa kuhonga, maneno pesa sauti kelele. Karibuni tuzidi kuboresha huduma zetu kwa hawa watoto wazuri
Sema tunakula hasara, one time Demu ananipigia simu anataka kwenda Mwanza mama yake anaumwa dah ilikuwa Xmass basi nikamtumia vijipesa duh kumbe kanidanganya naona anapost picha yupo beach akila bata dah na bonge la Caption: Ujinga wako ndio mtaji wangu
Khaa sihongi tena labda unikabe
mkuu pole, mtumikie mola wako, kwa maana pengne amekuepusha na balaa, you never know be cool and relax.Inauma sana...nimekutana na DEMU siku nne kabla ya Mwezi Mtukufu kuanza..Siku mbili kabla Demu kanipiga mzinga KIDUME nikajitutumua nikampa KIASI alichohitaji na ziada juu.
Suku moja kabla ya kuanza MFUNGO nikamwambia "naona kwa sasa hakuna kitakacho fanyika...nashauri swala la PA**CHI itakuwa ni baada ya MFUNGO...
Tulikubaliana vizuri....ajabu mwenzangu uvumilivu umemshinda, nilisikia (na sasa nimeshuhudia) rafiki yangu wa karibu anajilia mzigo ndani ya MFUNGO...
Nimechoka kwa kweli..
Nipo shangazi yangu! Mzoee tu babu yako, unaweza jikuta hata wewe ni mama yake mkubwa.
Na ww ni miongoni mwao nini?!Hiyo sentesi ya mwisho ndio lilikuwa lengo lako kuu..Tumeshawazowea sasa
Wewe sasa Ndio definition of msweetbabe...lazima mwanaume uhonge banaaamwanaume lazima uhonge....hii hainaga ubishi..... hata ukimpa soda....ina lengo,,,, unajenga mazingira ya ukaribu........mpaka mfikie malengo...... au teseme kuchunwa.....must
a must..Wewe sasa Ndio definition of msweetbabe...lazima mwanaume uhonge banaaa