Karibuni Chakula

hiyo ilikua harusi ya sosoliso na paloma
 
Hii bado haijawafikia akina Okonkwo. Kule Umofia kuna jamaa alitandika kitu cha Yam foo foo na egusi soup kiasi watu waliokaa upande mmoja hawawaoni wa upande wa pili. Ilipofika jioni wakati mlima umepungua ndipo jamaa mmoja akagundua kumbe na shemeji yake naye alikuwepo, ndipo sasa wakasalimiana kwa kupeana mikono juu ya masalia yaliyokuwapo mezani
 

Hahahahahahaaaaaaaaaaaa!!!!!!! Umenichekesha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…