Fisadi.Jones
Senior Member
- Aug 15, 2008
- 110
- 7
Nimejiunga mzee ... kazi imetualia.
Lakini kiasi cha kuanzia (2000U) ni kidogo sana baba mkubwa. Kwa mfano nikikuta share za 30U nnapata kama 60 tu. Sasa kwa kuanzia kidogo haimpi mtu munkari wakuinvest.
Ingeanzia kama 15000U ingekuwa mwake baba ake.
Lakini kiasi cha kuanzia (2000U) ni kidogo sana baba mkubwa. Kwa mfano nikikuta share za 30U nnapata kama 60 tu. Sasa kwa kuanzia kidogo haimpi mtu munkari wakuinvest.
Ingeanzia kama 15000U ingekuwa mwake baba ake.