Karibu tusali pamoja usiku huu

Karibu tusali pamoja usiku huu

Skudu makudubela

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
559
Reaction score
1,116
Shalom Shalom taifa la Mungu

Ni usiku tena nawakaribisha katika maombi .Najua mliowengi mnapitia majaribu tofauti tofauti nawakaribisha kila mmoja mwenye uhitaji aandike ombi lake nayo itatendeka kama ulivyoomba.

Tufungue maandiko kidogo kitabu cha Mathayo


Mathayo 7:7-12 BHN

“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa. Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe? Au je, akimwomba samaki, atampa nyoka? Kama basi nyinyi, ingawa ni waovu, mwajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, hakika Baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi: Atawapa mema wale wanaomwomba. “Yote mnayotaka watu wawatendee nyinyi, watendeeni wao vivyo hivyo. Hii ndiyo maana ya sheria ya Mose na mafundisho ya manabii.


Nawakaribisha tusali pamoja usiku wa leo.Kwa imani tunaamini maombi yetu yote yatatendeka wakati wa Mungu ndio wakati sahihi


Moods nimetafuta jukwaa la maombi nimekosa na nina hisi upako ndani yangu nikamwaga uzi hapa sebleni

KARIBUNI
 
Shalom Shalom taifa la Mungu

Ni usiku tena nawakaribisha katika maombi .Najua mliowengi mnapitia majaribu tofauti tofauti nawakaribisha kila mmoja mwenye uhitaji aandike ombi lake nayo itatendeka kama ulivyoomba.

Tufungue maandiko kidogo kitabu cha Mathayo


Mathayo 7:7-12 BHN

“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa. Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe? Au je, akimwomba samaki, atampa nyoka? Kama basi nyinyi, ingawa ni waovu, mwajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, hakika Baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi: Atawapa mema wale wanaomwomba. “Yote mnayotaka watu wawatendee nyinyi, watendeeni wao vivyo hivyo. Hii ndiyo maana ya sheria ya Mose na mafundisho ya manabii.


Nawakaribisha tusali pamoja usiku wa leo.Kwa imani tunaamini maombi yetu yote yatatendeka wakati wa Mungu ndio wakati sahihi


Moods nimetafuta jukwaa la maombi nimekosa na nina hisi upako ndani yangu nikamwaga uzi hapa sebleni

KARIBUNI
Amina mtumishi
Mapenzi yake Mungu yatimie apa duniani kama huko mbinguni
 
Shalom Shalom taifa la Mungu

Ni usiku tena nawakaribisha katika maombi .Najua mliowengi mnapitia majaribu tofauti tofauti nawakaribisha kila mmoja mwenye uhitaji aandike ombi lake nayo itatendeka kama ulivyoomba.

Tufungue maandiko kidogo kitabu cha Mathayo


Mathayo 7:7-12 BHN

“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa. Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe? Au je, akimwomba samaki, atampa nyoka? Kama basi nyinyi, ingawa ni waovu, mwajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, hakika Baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi: Atawapa mema wale wanaomwomba. “Yote mnayotaka watu wawatendee nyinyi, watendeeni wao vivyo hivyo. Hii ndiyo maana ya sheria ya Mose na mafundisho ya manabii.


Nawakaribisha tusali pamoja usiku wa leo.Kwa imani tunaamini maombi yetu yote yatatendeka wakati wa Mungu ndio wakati sahihi


Moods nimetafuta jukwaa la maombi nimekosa na nina hisi upako ndani yangu nikamwaga uzi hapa sebleni

KARIBUNI
Dini ni utapeli tu
 
Dini ni utapeli tu
nilitaka kushangaa toka juu mpaka hapa kutokutana na comment kama hiyi, mbona ningekata rufaa, bro ushaharibu uzi kwa kualika athesiti wenzako kama mi mwongo ngoja tuone comment zinazofuata
 
Back
Top Bottom