Karibu tupumzike pamoja baada ya kazi

Karibu tupumzike pamoja baada ya kazi

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,763
Reaction score
27,154
Nimechoka na nimeboreka, niambie kimoja kati ya hivi vitano;
  1. Kitu gani cha ajabu mwanaume au mwanamke ameshawahi kukuomba?
  2. Umeshawahi kuvunja urafiki, nini kilitokea?
  3. Umetumia hela yako kununua kitu gani cha kijinga ila unakifurahia?
  4. Ulifanya nini mpaka ukaachwa au kumuacha mpenzi wako?
  5. Ndoto gani ya ulishawahi kuota, ukaamka na kushukuru kwamba ni ndoto na si kweli.

    fav drink after work.jpg
Cc:
secretarybird, realMamy , Binti Sayuni03 , bonjov , Anastasia21 & Mpwa Nomadix
 
No 1:
Boss kazini kuomba mixx by Yas 😅, nikamyima na kuomba uhamisho 😆

No 2:
Aliyekua rafiki yangu alikua na shida na hela, baada ya kuniomba mimi akamtumia meseji mume wangu kumuomba hela, mume akascreenshot akanitumia meseji yake.

Nikajua tu hii ni taa nyekundu, kinachofuata atamtongoza shemeji yake, wote tukamblock na sijaongea naye tena (it has been 5 years).
 
No 1:
Boss kazini kuomba mixx by Yas 😅 na mimikuomba uhamisho after that 😆

No 2:
Aliyekua rafiki yangu alikua na shida na hela, baada ya kuniomba mimi akamtumia meseji mume wangu kumuomba hela, mume akascreenshot akanitumia meseji yake.

Nikajua tu hii ni taa nyekundu, kinachofuata atamtongoza shemeji yake, wote tukamblock na sijaongea naye tena (it has been 5 years).
Kwahiyo boss aka mix by Yas.
Uhamisho uliiupata lakini?
 
No 1:
Boss kazini kuomba mixx by Yas 😅 na mimi kuomba uhamisho after that 😆

No 2:
Aliyekua rafiki yangu alikua na shida na hela, baada ya kuniomba mimi akamtumia meseji mume wangu kumuomba hela, mume akascreenshot akanitumia meseji yake.

Nikajua tu hii ni taa nyekundu, kinachofuata atamtongoza shemeji yake, wote tukamblock na sijaongea naye tena (it has been 5 years).
Em wait,. Kwahiyo ulimpa mix by Yas??🤔
 
Back
Top Bottom