Tujisahihishe Tz
Platinum Member
- Nov 17, 2011
- 3,050
- 1,359
Nilipewa mwaliko bana wa kuhudhuria tukio maalamu la kulounge 4g ndani ya dodoma tukio lililofanyika Molena Hotel, nimefurahi kwa kufanya tukio ili hivyo kuanzia kesho kama mteja wa tigo fika kesho ofisi ya tigo ubadilishiwe laini yako na upewe ya 4g uanze kufaidi speed ya kasi kabisa
Tigo mnanikoshaaa
Tigo mnanikoshaaa