NTEGEYE Jr
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 322
- 286
Shule ina Mazingira Mazuri na Rafiki kwa utoaji wa Elimu Bora na Malezi kwa Mtoto. Wahi FOMU mapema, mitihani ya kujiunga itafanyika Oktoba 20, 2018 siku ya jumamosi.
Mkuu mbona kwa namba hiyo ya usajili S.1424 NECTA inaonesha ni usajili wa shule nyingine iliyopo simiyu imekuwaje na nyie muwe na usajili wa namba hiyo tena?Shule ina Mazingira Mazuri na Rafiki kwa utoaji wa Elimu Bora na Malezi kwa Mtoto. Wahi FOMU mapema, mitihani ya kujiunga itafanyika Oktoba 20, 2018 siku ya jumamosi.View attachment 869330View attachment 869331View attachment 869332