Karibu Tanzania nchi ambayo Mchina anaingia nchini anafanya kazi bila vibali hata miaka 6 fresh tu
Wewe mngoni nenda kariakoo fungua hata Ki Mpesa na huna leseni Utakiona cha moto.
Inawezekana kweli mzee wangu marehemu JomoKenyatta aliona sisi ni maiti kweli?