Karibu kwenye Dirisha la maoni na mapendekezo

Karibu kwenye Dirisha la maoni na mapendekezo

Daisam

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2016
Posts
2,622
Reaction score
3,144
Mama ameona shamba lake la matunda haliendi vizuri. Hivyo, anatarajia kukata miti yote isiyozaa matunda na kupanda miti mingine inayozaa matunda.

Kwa maoni yako unafikiri:-
1. Miti gani ikatwe ikiwezekana na kuteketezwa motoni?

2. Miti gani iachwe?

3. Miti gani ipandwe shambani?

Nawasilisha.
 
Huu uamuzi wa mama mwenyewe, anajua shamba lake halina mazao mema, kuna nzige tu shambani mwake.
 
Back
Top Bottom