Karibu baby sis

Tlaatlaah kumbe ww ni mzee wa Kawe uliyechangamka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Muogope sana huyo
Na mi najiulizaga hilo swali ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Itakuwa ana vyeti vyake kakabidhi jf
Maana huwaga anaandika vitu Hadi unabaki kusema heeee huyu jamani๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃLakini yumo tu
 
Muogope sana huyo

Maana huwaga anaandika vitu Hadi unabaki kusema heeee huyu jamani๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃLakini yumo tu
Na nyuzi zake ndo zinanivunjaga mbavu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Tlaatlaah kumbe ww ni mzee wa Kawe uliyechangamka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
hapo kwa akina Apostle Mwamposa na Bishop gwajiboy sio๐Ÿค“

wale ni wapendwa katika Kristo Yesu ila wako mbele kidogo kunizidi mimi mnyonge sana, na nisiestahili chochote mbele za Mungu na wanadamu
 
hapo kwa akina Apostle Mwamposa na Bishop gwajiboy sio๐Ÿค“

wale ni wapendwa katika Kristo Yesu ila wako mbele kidogo kunizidi mimi mnyonge sana, na nisiestahili chochote mbele za Mungu na wanadamu
Ukiachana na CCM ukakaza kwenye upendwa utawazidi wote hao ๐Ÿ˜œ
 
Muogope sana huyo

Maana huwaga anaandika vitu Hadi unabaki kusema heeee huyu jamani๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃLakini yumo tu
Mama yangu mpendwa sana Joannah , nakupenda sana..

naumia kuskia una hofu nami mnyonge jaman, wana wa Mungu hatuna hofu na waangamizao mwili sababu tupo na Mungu katika roho na kweli...
Usiogope mimi ni kijakazi wa Bwana, nafanya kazi za kimwili na kiroho kwa Neema na baraka za Mungu....

Mungu akubariki sana Mama..
 
Ukiachana na CCM ukakaza kwenye upendwa utawazidi wote hao ๐Ÿ˜œ
Baada ya kazi ya Mungu apo usharikani, kidogo nafanya na hiyo ingine....

Maana Imeandikwa,
Mamlaka zote zatoka kwa Mungu,

mimi ni nani hata nijitenge na agizo la Baba yangu wa Mbinguni?
Ni muhimu kuzitii mamlaka
 
Na nyuzi zake ndo zinanivunjaga mbavu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Jomoni jomoni wapendwa,
mbona mnamzodoa Apostle familia ya Mungu badala ya kumtia moyo kwa maombi na sadaka injili isonge mbele...
 
Baada ya kazi ya Mungu apo usharikani, kidogo nafanya na hiyo ingine....

Maana Imeandikwa,
Mamlaka zote zatoka kwa Mungu,

mimi ni nani hata nijitenge na agizo la Baba yangu wa Mbinguni?
Ni muhimu kuzitii mamlaka
Hiyo kazi muachie kaka Luka, ww baki kwa Mungu mboga mboga watakuponza siku ya mwisho uangukie motoni
 
Baada ya kazi ya Mungu apo usharikani, kidogo nafanya na hiyo ingine....

Maana Imeandikwa,
Mamlaka zote zatoka kwa Mungu,

mimi ni nani hata nijitenge na agizo la Baba yangu wa Mbinguni?
Ni muhimu kuzitii mamlaka
Huwezi kuwatumikia mabwana wawili,chagua upande....ndio maana Nina mashaka sana na wewe kumbe Tena mwana CCM!Loooh salaleeeeee hamna kitu hapo. Lamomy huyu Mtu muongalie Kwa jicho la tatu
 
Jomoni jomoni wapendwa,
mbona mnamzodoa Apostle familia ya Mungu badala ya kumtia moyo kwa maombi na sadaka injili isonge mbele...
F.P sio wewe,hapa Kuna mtu mwingine tunamzungumzia....
 
Jomoni jomoni wapendwa,
mbona mnamzodoa Apostle familia ya Mungu badala ya kumtia moyo kwa maombi na sadaka injili isonge mbele...
๐Ÿค ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
 
Huwezi kuwatumikia mabwana wawili,chagua upande....ndio maana Nina mashaka sana na wewe kumbe Tena mwana CCM!Loooh salaleeeeee hamna kitu hapo. Lamomy huyu Mtu muongalie Kwa jicho la tatu
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hapa tumepigwa
Huyu analeta janja janja za nyani kila mti wenye matunda anarukia
 
Kuna Moja alitoa wiki ilee nyuma ya kurogwa na wachagaa hakika ungebaki mdomo ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Hebu nikitulia niutafute nicheke, da mau anafurahisha sana.!
 
Huwezi kuwatumikia mabwana wawili,chagua upande....ndio maana Nina mashaka sana na wewe kumbe Tena mwana CCM!Loooh salaleeeeee hamna kitu hapo. Lamomy huyu Mtu muongalie Kwa jicho la tatu
hivi sasa mambo imebadilika, tunawafuata wapendwa na kuwahubiria neno huko walipo, kama uliniona ccm basi ni vile hukuniona act, chauma, adc au chadema, huko kote tunafanya hudumu kunao wapendwa wetu humo kwenye hayo makundi,

si hivyo tu,
kwenye mabar, clubs ata za usiku, masokoni, kwenye daladala na kwenye standi, tunafundisha Neno bila wasiwasi wala tashwishwi yeyote, licha ya ngumi, mateke, matusi, makofi na vibao tunavyolapuliwa kutoka kwa baadhi ya mapepo lakini injili inasonga Mblele bila mbambamba ๐Ÿ”ฅ๐Ÿค“
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hapa tumepigwa
Huyu analeta janja janja za nyani kila mti wenye matunda anarukia
๐Ÿคฃsaa zingine na wewe una maneno sana mtumishi Lamomy ..

apa matunda iko upande kwa mfano ๐Ÿ˜…

hata nahivyo injili lazima isonge mbele.

Na mwaka huu 2024 ni mwaka wa kuhuisha na kufungua maskio ya mioyo na Roho ziliyo ziba ili iwe rahisi kuskia sauti na kutambua wito wa MUNGU
Tunaizibua kwa maombi na maombezi ili hatimae kila mpendwa aweze kusikia sauti ya wito wa MUNGU katika maisha yake....

Pokea muujiza wako mtumishi Lamomy ...

Ooh hallelujah ๐Ÿ”ฅ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ