Asante sana Madam FaizaFoxy lakini sijawahi kuandika hivyo kabisa mahali popote zaidi ya Ms. ( Nikimaanisha Miss) hata hiyo Sissy sijawahi kabisaFaidika na darsa la FaizaFoxy:
Kwa msamiati wa "slang" wa Kingereza "sissy" ni mwanamme mwenye mambo ya kidada (shoga).
Hapa unamuongelea mdogo wako wa kiume ambae ni "sissy"? Au wa kike ambae ni "sis"?
π€£π€£π€£π€£Get some aspring amigo check on thread cartegory dont kaza your skull
πππNimeipenda signature yako. πππ
Aah mwambie atune hela Kila kitu kinaongelekaπMama mchungaji una tuhuma nzito kutoka kwa Omulasil πππ
Kumbe umesubiri niondoke umkimbie tajiri yangu na kaka angu kipenzi?!!
π€£π€£π€£π€£ Aiseee!!!Aah mwambie atune hela Kila kitu kinaongelekaπ
Ila ww unanitafuta nishaona πππHabari ndo hiyo chakoriiiπ
Yupi?! Hebu mtaje π€£π€£π€£Aliniomba ruhusa aolewe kuna mtu akimuona moyo wake unasimama mapigo.
Mi nikawaandalia tu harusi yao na fungate
Nimerudi, kwanza ule ubuyu wa jana sijakupa njoo pm nimefungua π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Wewe sasa usharudi
Hadi nimepata wivuJamaniiiiii my baby Sis is back!
Nilikumiss sana mdogo wangu, Mwehu wangu, welcome back my lovely Sis, ur such a beautiful soul.
Kwa mtazamo wa nje una mapepe mengiiiii ila in reality una Moyo wa dhahabu, walio karibu na wewe watashuhudia hili.
Juzi niliona I'd mpya imechangamka inaitwa black flowers nikajua ni wewe, nikamcheck fastaaa PM, I was so disappointed baada tu ya salam nikapata jibu"Mimi sio cute wife"ππππππnikamwambia sawa nikandoka kinyongeee, yaani I was surprised kajuaje namtafuta lamomyπ€£π€£.
Welcome back kipenzi, am sure shostisto wako Missy Gf atakuwa anachekelea maana alikuwa kapooza kama ndegere mjane.
Karibu Tena beautiful, ila punguza wenge, usipigwe tena ma ban yasiyo na lazima usiwe kama mndewa Extrovert π . Am happy umerudi dogoake.π
UnajisahaulishaYupi?! Hebu mtaje π€£π€£π€£
Ndio ,kazi iendeelee in samia's voiceππππ€£π€£π€£π€£ Aiseee!!!
Nikajua mwaka mpya pesa sio kipaumbele, kumbe kazi inaendelea
πππYupi?! Hebu mtaje π€£π€£π€£
Akaaa baby weweπ€£π€£π€£Ila ww unanitafuta nishaona πππ
Wee Jux naye alikuwa na bday?!!Unajisahaulisha
π€£π€£
Jux wa jf sio Kwa kumwaga mipicha
Tumepusha siku Moja birthday km sokosei
Mbona umepitwaaa
Wee joba hebu nipe huo ubuyu Mtakatifu Anne πππAmerudi umbea wote mkali mkali wa mjini ulishampita jamani
Ban hizi π€£
Naona umepamba moto ππNdio ,kazi iendeelee in samia's voiceπππ
Mtaje yeye atazuga kumtajaπππ
Au sijui nimtaje au aje mwenyewe amtambulishe
Ndugu yanguWee joba hebu nipe huo ubuyu Mtakatifu Anne πππ