Kariakoo pia kuna majina ya watu maarufu kina Max Mbwana, Aggrey, Livingstone, etc
Ilala kuna mitaa yenye majina ya mikoa na majiji
Lindi, Mwanza, Bukoba, Arusha, Moshi , etc
Kinondoni kuna majina ya nchi, mf Tunisia, Togo etc
Temeke kuna majina mengi ya kutoka Kusini kwa Tanzania