A
Anonymous
Guest
Hapa ni Kariakoo Gerezani maji machafu pamoja na kinyesi vimetapakaa zaidi ya miaka miwili, tunapata tabu sisi wapita njia.
na tukihamia nchi za watu, tunahama na "ustaarabu" wetu ...
View: https://twitter.com/i/status/2076696520166871073
wanatuonea wivu tu, uchumi wetu unakuwa kwa kasi sana.
meanwhile maisha ya huko algeria north afrika uchafu mtupu hata wametuzidi kwa uchafu huko algeria ...
View: https://twitter.com/i/status/2081676151395639638