murutongore
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 2,051
- 639
..i think there are exceptions to that.
..kuna wakati diplomats au wenye hadhi ya kidiplomasia hukamatwa na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria.
..kama utakumbuka kuna afisa ubalozi wa tz aliwahi kukamatwa na polisi wa rwanda. Sasa kama rwanda yenyewe imewahi ku-arrest maofisa wa nchi nyingine wenye diplomatic immunity why are u surprised kuwa jamaa yenu naye amekamatwa??
Cc jMali
Ukikamatwa what they do is they send you back to your country. Now did they do that to KK?