Unateseka mwenyewe!Leo nyumbu mmekuwa chawa wa Membe mkishadadia makosa ya kimchongo ya Musiba
Exactly.Siku musiba akitoka hadharani na kumuomba Mzee Membe, wastaafu na watanzania wote aliowachafua nitakuwa wa kwanza kumshawishi kachero Membe kumsamehe lkn vinginevyo MEMBEapewe pesa zake alidhalilishwa sana
Kudai ushahidi ni kichaka tu cha kuficha uovu wa shetani.Unaweza kuweka ushahidi Magufuli aliwateka watu wangapi na huo upinzani aliuaje weka ushahidi
Kwa hiyo wakati Musiba anamtukana Membe hao viongozi wa dini(Pengo na Malasusa) walikuwa hawajazaliwa? Wamezaliwa baada hukumu ya 9.9b kutoka kwa Msiba kwenda kwa Membe? Jaribu kushirikisha medulla Oblongata yako vizuriWe Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Kama unaona magufuli alitukanwa na Mange na Marandu, kafungue shauri mahakamani kwa niaba yake. Magufuli mwenyewe alijua hatukanwi ila anaambiwa ukweli mchungu ndio maana hakuwachukulia hatua kwa uwezo aliokuwa nao, kwani angeweza hata kutumia interpol. Kuwa mkweli uwe huru. Acha unafiki kemea uovu.Kukemea ndio kumtukana rais Magufuli matusi leo unayaona makosa ya Musiba ila kina Mange kimambi na Tobias Marandu hukuona wewe na genge lako la nyumbu ndio wanafiki wakubwa na mmejaa uzandiki na visasi
Ni kujiinua kama musiba. Na ukijiinua unakatwa. Wote waliopata kuwa na viburi vya madaraka katwa hata aliyekuwa anawapa kiburi naye alikatwa Mungu analipenda taifa. kata wote wenye viburi. Hata shetani naye alikatwaHivi makosa ya Shetani unayajua? Au unaropoka kimehemko
Unaweza kuweka ushahidi Magufuli aliwateka watu wangapi na huo upinzani aliuaje weka ushahidi
Umeshasema dini si MunguUkiwa na fikra za shetan huwez elewa lengo la dini
Acha unafiki na ujuha Wewe.... usimuinue shetani huwa haaminiki atakuchoka utaumia na kujuta dogo!!Unaweza kuweka ushahidi Magufuli aliwateka watu wangapi na huo upinzani aliuaje weka ushahidi
Katika Mila za kiafrika huwa hatuongei wakati wa kula, enzi ya jiwe, Pengo na Malasusa walikuwa dinning table na jiwe pamoja na Musiba, Sasa hivi Malasusa anashindwa hata kumuondoa mchungaji Kimaro madarakaniHivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka ule. Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Leo wako nje ya meza wanaropoka tuwapuuzeKatika Mila za kiafrika huwa hatuongei wakati wa kula, enzi ya jiwe, Pengo na Malasusa walikuwa dinning table na jiwe pamoja na Musiba, Sasa hivi Malasusa anashindwa hata kumuondoa mchungaji Kimaro madarakani
Agent wa nini na nani mkuuAgents
Mkuu naomba kupingana nawe kwa sababu zifuatazo:Hivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka ule. Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Nakubaliana na wewe lkn hoja ni kwamba kipindi musiba anatukana watu makanisa hayakuwepo? Kwani walishindwa kukemea hukohuko makanisani?Mkuu naomba kupingana nawe kwa sababu zifuatazo:
1. Kichungaji huwezi kuona akimkemea mtu hadharani hasa kama hujawagusa wao hadharani.
2. Kichungaji mtu akija kuomba radhi au kutubu makosa yake mchungaji au kasisi hawezi kuja kusema hadharani.
3. Ni kazi ya kasisi au mchungaji kumuombea msamaha mkosaji pale anapohitaji kuombewa msamaha yaani anapotubu na kukiri makosa yake(kitubio)
Hivyo wala sio unafiki bali wametekeleza jukumu lao la kichungaji
Kakataa kufuata hata Agizo Hili La Mungu!Mkuu naomba kupingana nawe kwa sababu zifuatazo:
1. Kichungaji huwezi kuona akimkemea mtu hadharani hasa kama hujawagusa wao hadharani.
2. Kichungaji mtu akija kuomba radhi au kutubu makosa yake mchungaji au kasisi hawezi kuja kusema hadharani.
3. Ni kazi ya kasisi au mchungaji kumuombea msamaha mkosaji pale anapohitaji kuombewa msamaha yaani anapotubu na kukiri makosa yake(kitubio)
Hivyo wala sio unafiki bali wametekeleza jukumu lao la kichungaji
Hivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka ule. Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu
Himenayo na Fileto...Hivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka ule. Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Bado narudia kusema, makasisi huwa hawaonyi hadharani kama wanasiasa. Wanaonyona siriniNakubaliana na wewe lkn hoja ni kwamba kipindi musiba anatukana watu makanisa hayakuwepo? Kwani walishindwa kukemea hukohuko makanisani?
Kwa hiyo dini ni kwa upande wa Musiba???au wewe unazingumzia dini ipi¿??We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa