Kardinali Pengo amkemea Lowassa


Mkuu hivi mzee Pengo hana account pale Mkombozi bank.
 

Wewe ni moja ya watu msiotakiwa kabisa kwenye jamii. Yaani kama ni madhara unasubiri yatokee kwanza ndo useme?
 
marryan lowassa hajawahi kwenda kanisa katoliki..kwa hiyo hilo kemeo sio la kwake. kemeo hilo ni la ccm kwani wanaenda makanisani kujaribu kuwarubuni waumini na walei wao.
 


Sidhani kama Kardinali amesema hivyo. Haya yanaweza kuwa maneno ya gazeti la RAIA TANZANIA kutokana na msimamo hasi walio nao kwa Lowassa.
Kanisa ni mahali pa kujisafisha. Maandiko matakatifu yanasema Yesu alikuja duniani kuwafuata wadhambi ili waokoke.
 
Kwani pengo ndio nani bwanaaaa?! Asituzingue na yeye aendelee kulisha wanakondoo aachane na ya kaisari
 
Usimpakazie Kadinali Pengo matope. Ni mtu makini na hawezi kutumika kama unavyotaka kuuambia umma!!!
 
OMG!
Mleta uzi na wewe bhana,umeshindwaje kuchanganya na zako ilihali unajua kuwa ni AKILI ZA KUAMBIWA!.
Vp kwenye ukurasa uliofuata,waligusia MAASKOFU waliopata mgao wa ESCROW?.
 
Moderators huyu mtoa uzi bado mnamuangalia tu? Amenukuu alichosema Pengo vizuri na kuongezea ya kwake ambayo ni uchochezi wa kidini. Piga ban huyu
 
na Pinda aliombea nini msamaha kanisani kama kupigwa walipigwa wananchi kwa matamshi alotoa bungeni...si arudi kule akaombe msamaha?
 
Pengo mnafiki
 
Lowasa ametajwa wapi kwenye hayo maneno
 
Kwa nini watu wanapenda kulitukana kanisa katoliki?
 
Kwa nini watu wanapenda kulitukana kanisa katoliki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…