Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,308
- 4,207
Natoa tahadhari kwa wenye mioyo midogo ama mepesi usiangalie na kusikia hii video ya mahubiri ya Sheikh mkuu wa madhehebu matukufu ya waislamu wa Shia Tanzania Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge.
Anaelezea jinsi Kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali (a.s) alivyouwawa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania uislamu dhidi ya dhulma ukandamizaji unyanyasaji na uonevu.
Yani licha ya kumuua walimkata kichwa na mwili kukanyagwakanyagwa. Bila juhudi za kipenzi chetu cha dhati leo tusingesema shahada.
Msikilize.
Anaelezea jinsi Kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali (a.s) alivyouwawa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania uislamu dhidi ya dhulma ukandamizaji unyanyasaji na uonevu.
Yani licha ya kumuua walimkata kichwa na mwili kukanyagwakanyagwa. Bila juhudi za kipenzi chetu cha dhati leo tusingesema shahada.
Msikilize.