Mjita wa Musoma
Member
- Jan 9, 2016
- 6
- 0
Jamani naombeni kuuliza kwa waliowahi kufanya interview katika kiwanda cha viatu cha Moshi, maana tangu interview kufanyika tumesubiri mpaka leo kwa mwenye taarifa zaidi anijuze.
Interview mlifanya liniJamani naombeni kuuliza kwa waliowahi kufanya interview katika kiwanda cha viatu cha moshi, maana tangu interview kufanyika tumesubiri mpaka leo kwa mwenye taarifa zaidi anijuze
Jamani naombeni kuuliza kwa waliowahi kufanya interview katika kiwanda cha viatu cha moshi, maana tangu interview kufanyika tumesubiri mpaka leo kwa mwenye taarifa zaidi anijuze
Mwaka jana mwezi wa 12Interview mlifanya lini
Waliitwa baadhiYEGO,
Watu walishaitwa kazini ,
Duu..kumbe kitambo sana mkuu...bas watu watakua walishaitwa kama ni hivyoMwaka jana mwezi wa 12
Duu..kumbe kitambo sana mkuu...bas watu watakua walishaitwa kama ni hivyo
Nchi hii ina watu wavumilivu aisee.Mwaka jana mwezi wa 12
Tangazo lilitolewa tena january 20 ila wa mwanzo walifanya interview desemba wakapata machine operators na wakatoa tena tangazo january 20 nlituma sikuitwa ata kweny interviewInterview mlifanya lini
Uingiagi mtandaoni nin majina yalitolewa walioitwa kazini ilikuwa february mwaka huu zaidi ya watu 200Duu..kumbe kitambo sana mkuu...bas watu watakua walishaitwa kama ni hivyo