ndugu ihi nchi ni shamba la bibi,tcra ni kama hawapo,yuliambiwa na serikali kupitia naibu waziri wa mawasiliano bw makamba,kwamba serikali imeondoa ushuru wa vingamuzi kwaiyo bei itashuka kama yalivyokua matarajio ya wengi, lakini ndio bei imekua maradufu ya kabla ya kupunguzwa kwa kodi ya vingamuzi na serikali,alafu chakushangaza ivi vingamuzi vya startimes sio [hd] sasa nashangaa kwanini wanawauzia watu t1 kwa 10,7000 wakati wenzao wa [ting][contnental] wanauza [ting 90,000] [contnental 95,000]???na ivi ni [hd]? tatizo watanzania wengi hawana uelewa vitu ndio maana wananunua startimes ambayo ni t1 yaani kingamuzi cha kwaliti ya chini kabisa, tena kwa bei mbaya,wakati [hd] iliyo kwaliti bora na yenye ubora wa hali ya juu hawanunui wakati bei yake ipo nchini,sasa utaniambia kwa nini mchina asiwakamate wajinga?