Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Kosa kubwa sana huyo binti amelifanya kama hakwenda na Mwanasheria kumsaidia kutoa maelezo. Kapuya ni CCM, na CCM ndiyo inaongoza nchi
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Ngoja tuone kama katika hili Polisi wata react!
Speed hii ya utendaji kama ingelitumika kwa wananchi wote basi Ng. Lwakatare asingelipata mateso yote aliyopata. Ni mawazo tu.
Kesi ya nyani mikononi mwa ngedere lazima judgement itakuwa on a favor of nyani