Kapombe asaini azam fc miaka mitatu

Kapombe asaini azam fc miaka mitatu

Nilimuangalia kwenye tv hakuonesha kiwango cha maana tena alifanya makosa mengi sana..

mara ya kwanza alicheza kama kiungo,na mara ya pili alicheza kama beki wa kushoto kama uliona juhudi za goli lilivyopatikana nadhani unaelewa ninachozungumza.
 
Back
Top Bottom