R Mbuna
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,293
- 5,418
Kwa hiyo ndio mmeamua kuja kunitangaza huku jamani. Kweli nimeumbuka mtu mzima just a joke.
Ila uhalisia ni hivi huyo binti asikubali kumhalalisha huyo jamaa kuwa baba kijacho since end of the day italeta conflict na baba halisi. Na atakuwa amejidhalilisha yeye katika familia yenu kwani hyo kesi itawahusisha wazazi pale baba halisi akijitokeza.Na kuhusu huyu bwana kibamia mshauri alepate mlo kamili na aende kupata ushauri wa kisaikolojia ili kupunguza msongo wa mawazo inavyoonekana hajiamini kwa hayo maumbile yake.
Ila uhalisia ni hivi huyo binti asikubali kumhalalisha huyo jamaa kuwa baba kijacho since end of the day italeta conflict na baba halisi. Na atakuwa amejidhalilisha yeye katika familia yenu kwani hyo kesi itawahusisha wazazi pale baba halisi akijitokeza.Na kuhusu huyu bwana kibamia mshauri alepate mlo kamili na aende kupata ushauri wa kisaikolojia ili kupunguza msongo wa mawazo inavyoonekana hajiamini kwa hayo maumbile yake.