hiram
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 266
- 393
Kwa mujibu wa kanuni zinazopatikana kwenye website ya bodi ya ligi http://tplboard.co.tz/downloads Kagera anatakiwa kucheza play off na si kushuhwa daraja mooja kwa moja kanuni namba 7 kipengele cha tatu ambapo Kagera ana goal difference kubwa kuliko stand