Kanuni moja mpya ya kuoana

Kanuni moja mpya ya kuoana

NOKIALUMIA

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
396
Reaction score
279
Ngoja nikuambie kitu kijana mwenzangu wa kiume unayetaka kuoa! epuka kumuoa binti anayekujua vizuri kuwa unamaisha mazuri! hata maisha magumu yote mipango mungu!

Kama unajiona unamaisha mazuri tafuta binti ambaye hata kama humjui vizuri peleleza tu ukiona mambo safi muoe .

Epuka kuoa mwanamke anayekujua maisha yako mazuri ila unaweza kuoa binti anayekujua maisha yako ni magumu au wastani!

NB, wanawake wanapenda hela! ukiwa na hela utamuoa ila lazima upendo wake uende kwa anayependwa sio wewe la msingi punguza kiki ndugu yangu hata kama unamaisha mazuri acha kutongoza kwa kiki jifanye huna utapata jiko la maana tu.

Wanawake wote ni wazuri hata yule unayemuona mbaya mchukue halafu mpe huduma za kutosha mavazi sana ,mapambo mengi, pafyum, saloon nk atakuwa mrembo tu ukitaka chukua kichwani usipotaka acha yakiwa magumu binti unampa kila kitu lakini anachepuka usilete taarifa.
 
Ukishakuwa na hela tu utawapata tatizo kujua nani mkweli
 
Kaboom Hata Kama Umeoa Mambo Hayapo Sawa Unaweza Geeees Kasox
 
Root Jitahid Kumkwepa Anaekujua Unamaisha Mazuri ! Mbona Kipind Una Struggel Alikuwa Anakukwepa!
Nb: Hawa Wanapenda Sana Hela Ukiwa Na Hela Mpenda Hela Mkwepe

Mkuu unakuta binti kwao hata stuli hawana ila anapenda makuu sana anapenda aonekane yeye ndio yeye.mtu anataka iphone 6 ambayo kama ukimpa hiyo hela anaweza lima na kupata zaidi ya hiyo 1.2mil....
Watoto wa masikini shida sana
 
Ngoja Nkuambie Kitu Kijana Mwenzangu Wa Kiume!! Unaetaka Kuoa! Epuka Kumuoa Binti Anaekujua Vizur Kuwa Unamaisha Mazur! Hata Maisha Magumu Yote Mipango Mungu!!
Kama Unajiona Unamaisha Mazuri Tafta Bint Ambae HAta Kama Humjui Vizuri Peleleza Tu Ukiona Mambo Safi Muoe
EPUKA Kuoa Mwanamke Anayekujua Maisha Yako Mazur Ila Unaweza Kuoa Bint Anaekujua Maisha Yako Ni Magumu Au Wastani!!!
NB; wanawake wanapenda hela! ukiwa na hela utamuoa ila lazima upendo wake uende kwa anaependwa sio wewe
LA MSINGI
punguza kiki ndugu yangu hata kama unamaisha mazuri acha kutongoza kwa kiki jifanye huna utapata jiko la maana tu
WANAWAKE WOTE NI WAZURI HATA YULE UNAE MUONA MBAYA MCHUKUE AFU MPE HUDUMA ZA KUTOSHA
mavazi sana ,mapambo meng, pafyum, saloon nk atakuwa mrembo tu ukitaka chukua kichwan usipotaka acha yakiwa magumu bint unampa kila kitu lakin anachepuka usilete taarifa


Pesa haijifichi wewe,kama kikohozi hataufiche vipi kitachomoka tu.....
 
Wanaume wote kwenye pesa msitegemee kwenye maisha yenu kuna kupata real love, hata ungekuwa HB naunahela sahau kupendwa wewe money is more HB than you, habari ndio hiyoooooo
 
Nimekumiss kule. You know
I know shida nakuwa porini sana no network natumia satelite phone Thuraya kwa mawasiliano muhimu tu, huwezi kuamini Tanzania hii hii kuna sehemu hakuna hata mtandao mmoja unaokamata, nimerudi mjini kuwachinja ccm na kuwafurumusha madarakani tuanze upya, hawa mashetani wakafe mbele.

check me in my namba natumia laptop.
 
I know shida nakuwa porini sana no network natumia satelite phone Thuraya kwa mawasiliano muhimu tu, huwezi kuamini Tanzania hii hii kuna sehemu hakuna hata mtandao mmoja unaokamata, nimerudi mjini kuwachinja ccm na kuwafurumusha madarakani tuanze upya, hawa mashetani wakafe mbele.

check me in my namba natumia laptop.

Hakika hawa ni wakuondoa bila huruma... Mi washanchosha vya kutosha
 
Back
Top Bottom