Kansa Mbarouk kuzuiwa kumkabili Mbowe

Kansa Mbarouk kuzuiwa kumkabili Mbowe

Status
Not open for further replies.

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
kuna taarifa mh kansa mbarouk jina lake litazuiwa kugombea uenyekiti.
habari zinazidi kudai kuwa anaushawishi mkubwa kuliko wagombea wengine hivyo strategy iliopangwa ni kumhusisha na ACT kisha jina likatwe.
tahadhari: haki ni muhimu kwa kila mtu na bias ni hatari kwa taifa
 
zzk njoo chukua hii mubwaz yako huku inabweka sana
 
Majina yana umbra mfano kuitwa Shida, sikujua na huyu sasa Kansa......... Oooops.
 
Kwan alipokageuza ofc ya chadema ikawa ya act uchaguz ulikuwa tayr? Alipo kutwa na nyaraka za act ofcn uchaguz ulikuwa tayar au alibambikiwa? Aliposhiriki vikao vya act alibambikiwa? Aliongoza awamu tatu kama m/kit chadema tabora kwa katiba hii anayoipinga sasa anabambikiwa nayo?
 
Waropokaji wa Magamba wamezidi kuwa wengi kadiri siku zinavyozidin kwenda
 
Unatoaje jina la aliyejitoa? Alitaka wamtoe apinge mohakamani, aweke pingamizi azuie mkutano mkuu, wamemshtukia wakamwacha akakwama. sasa kasepa mwenyewe.
 
Unatoaje jina la aliyejitoa? Alitaka wamtoe apinge mohakamani, aweke pingamizi azuie mkutano mkuu, wamemshtukia wakamwacha akakwama. sasa kasepa mwenyewe.

acha majitaka
 
Cdm ni mali ya wachaga yeye alifuata nn huko?

Si kweli ! Waanzilishi ni wachaga, lakini si ya wachaga. Kila kitu kina mwanzo, na ukianza unatafuta watu ambao mna nia moja kwanza, then mnawavuta wengine to join hands kama CDM ilivyo sasa
 
kuna taarifa mh kansa mbarouk jina lake litazuiwa kugombea uenyekiti.
habari zinazidi kudai kuwa anaushawishi mkubwa kuliko wagombea wengine hivyo strategy iliopangwa ni kumhusisha na ACT kisha jina likatwe.
tahadhari: haki ni muhimu kwa kila mtu na bias ni hatari kwa taifa

Ushawishi gani alionao Kansa?labda nyumbani kwako!halafu siyo wanamuhusisha na ACT,ni ACT yangu zamani.
 
Si kweli ! Waanzilishi ni wachaga, lakini si ya wachaga. Kila kitu kina mwanzo, na ukianza unatafuta watu ambao mna nia moja kwanza, then mnawavuta wengine to join hands kama CDM ilivyo sasa

hii ni chagadema
 
kuna taarifa mh kansa mbarouk jina lake litazuiwa kugombea uenyekiti.
habari zinazidi kudai kuwa anaushawishi mkubwa kuliko wagombea wengine hivyo strategy iliopangwa ni kumhusisha na ACT kisha jina likatwe.
tahadhari: haki ni muhimu kwa kila mtu na bias ni hatari kwa taifa

Huyo atajiondoa mwenyewe wala cdm hatuna nafasi yakupambana na mabaki ya zzk. Angekua na ushawishi angekua na mbunge hata mmoja pale tabora. Apeleke kansa yake huko act.
 
Kansa ni kibaraka wa mwisho wa CCM ndani ya CDM
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom