assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
kuna taarifa mh kansa mbarouk jina lake litazuiwa kugombea uenyekiti.
habari zinazidi kudai kuwa anaushawishi mkubwa kuliko wagombea wengine hivyo strategy iliopangwa ni kumhusisha na ACT kisha jina likatwe.
tahadhari: haki ni muhimu kwa kila mtu na bias ni hatari kwa taifa
habari zinazidi kudai kuwa anaushawishi mkubwa kuliko wagombea wengine hivyo strategy iliopangwa ni kumhusisha na ACT kisha jina likatwe.
tahadhari: haki ni muhimu kwa kila mtu na bias ni hatari kwa taifa